waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 349
Anayestahili kushinda atashinda mkuu.. Uchaguzi uwe huru tuSawa bana, ila nami namuonmbea Bw Mgambo apite Lema atafute shughuli nyingine tu.
Nimesikia jina la Kunambi sijui ndo huyu?Alikuwa lakini sio sasa.Jana Kunambi kapigwa chini kaingia Mafuru.
Haijalishi..J. Slaa ni reference nzuri kama kweli wewe ni mfuatiliaji mzuri.Jifurahishe.. wangekuwa hawana mipango nae wangempitisha mshindi wa kwanza wa hilo jimbo
Mkuu chuki za Nini kuziweka hadharani hapa...Kama unachuki zako baki nazo tu kimoyomoyo... sisi watanzania wenzako tunaubiri upendo, umoja na mshikamano...tunakataa ubaguzi wa ainayoyote ile...na tunavumiliana kwenye tofauti zetu..Upo mkuu... tupendaneKapole pole kanajionaga ni kamtu muhimu sana katika hili taifa. Ushuzi mtupu....
Kishapu mkoa wa shinyanga nani kapita?
Hakuna mwanasiasa asiye na nia ya kuwa na madaraka makubwa.Makonda kakatwa.
Gambo katoboa.
Je Gambo sio mroho wa madaraka??
Ngungulile mapema tuBashite anapitishwa mapema sana, bashite ndie mmbunge rasmi wa kigamboni 2020-2025
Muheza pagumu... Adadi alikuwa amejaribu kusawazisha Hali ya mambo ila kuwekwa pembeni nadhani Mwana FA atapata upinzani mkali Sana...la mzee baba akubali kumuunga mkono...ata kwa shingo upandeMwana FA , muheza atashinda asubuhi mapema,
Kawe Gwajima anaibeba kabla misa ya kwanza kuisha ...
kwa sugu alijichanganyaBi. Tulia unamwacha wapi mlamu!
Rangi ya kiafrica, ngoja tutafute jina
Seleman Nchambi wa kishapu a.k.a mabunduki na risasi kaangukia pua
Maaawe!!Makonda kapitaaaaaa
Amepita??????Mrisho Gambo
Haitokaa itokee. Yani huko majimboni habari yake mtaanza kuisikia muda mchache ujao!Muheza pagumu... Adadi alikuwa amejaribu kusawazisha Hali ya mambo ila kuwekwa pembeni nadhani Mwana FA atapata upinzani mkali Sana...la mzee baba akubali kumuunga mkono...ata kwa shingo upande