Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Dah,Mkuu unadonoa!
 
Uimara was ccm hilo halina shida.Shida no pale wanaoo tumia dola na raslimali za Taifa kuminya Uhuru wa vyama vingine.Miaka mitano vyama vimezuiliwa kufanya kazi .TV zote hazi onyeshi matukio ya wapinzani.Niccm tu
Kama yote hayo yangekuwa yanafanyika bila Shaka usingekuwa na Uhuru wa kuyazungumza haya Kama unavyofanya hapa.
 
Baada ya kufanyika kwa mchakato kwenye ngazi mbalimbali halmashauri kuu ndio imepewa mamlaka ya mwisho kufanya uteuzi wa wagombea kwa mujibu wa kifungu namba 102 ibara ndogo ya 12 g ya katiba ya CCM ya 1977 na toleo la mwaka 2017.
Changa la macho JPM kashachagua majina ya wagombea hiyo halmashauri kuu ni rubber stamp tu hawana say yeyote.
 
Makonda is dying horse, hana chake, akajiajiri kama wanavyowashaurigi vijana kwamba ni wavivu na hawapendi kujishughurisha, na uzuri Makonda hana tatizo la mtaji kama walivyo vijana wengi.
Hata akikosa ubunge inakuhusu nni?

hujui yupo katika payroll za kitengo?
 
Mbona chadema wao haikusisimua kabisa
Kwa sababu hii ni hukumu ya majambazi sugu waliotutesa kwa miaka karibu 60. Tuna hamu ya kujuwa hatima zao kama ni kitanzi au life without a possibility of parole.
 
[emoji23][emoji23] Kumbe hadi wewe hutaki RC mstaafu apite?
Hata wakina Juakali wawatu jamani na machozi yale walolia bungeni?
Kila mmoja atapitishwa kwa sifa zake zinazostahili haonewi mtu!
 
Mbona nasikia ana utajiri wa kutisha, ameupataje kama sio kwenye biashara nje ya ajira yake?
Ana utajiri gani alikuwa anapora wafanyabiashara wakihindi na waarabu.

Wewe unafikiri ile vita ya madawa ya kulevya ililenga nini ?

Kuna mhindi mmoja niliwahi kuongea nae nilisikitika sana jinsi walivyokuwa wanafanyiwa hapo Dar es salaam.

Miaka mitano iliyopita ilikuwa michungu sana kwa matajiri hapa mjini
 
Miongoni mwa Wabunge na Wawakilishi atapatikana Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar,Mawaziri, Spika nk, hivyo ilitulazimu kuwajadili Wagombea kwa kina ili tujiridhishe tutakaowapitisha wana sifa zinazostahili kuwa Viongozi na wanafahamu Dira za Nchi na Sera za CCM



Kamati Kuu itawasilisha majina ya Wagombea iliyowapendekeza ili Wajumbe wa NEC mfanye maamuzi ya mwisho, naomba mjadili mapendekezo kwa umakini mkubwa, kwa kumtanguliza Mungu na maslahi mapana ya Taifa na CCM, tusiweke mbele Undugu, Ukanda au Udini bali uwezo wa kuongoza

Aidha Raisi Magufuli amesema kuwa hajapendelewa yeyote kwenye ugombea

Juzi na jana majina ya Wagombea yalijadiliwa kwenye vikao katika ngazi ya Kamati ya Usalama na Maadili na Kamati Kuu kwa ajili ya uchambuzi wa kina, uchambuzi ulikuwa wa kina kweli, tulitumia taarifa kutoka vyanzo vingi, niwathibitishie Wajumbe nimesoma majina yote 10,367


Uchambuzi wa kila mmoja wa kina tunao, Kamati Kuu tumejadili vizuri, hatujampendelea Mtu au kumnyima haki yake, ila ilitulazimu kutumia taarifa nyingi na kuwajadili Wagombea kwa muda mrefu ili watakaopotishwa wawe wenye uwezo wa kuipeperusha bendera ya CCM na kutupa ushindi
 
Na bado mitano mingine
 
Hapa ndiyo CCM wenyewe huwa wanavurugana na kuacha upinzani kupeta........maana kunatokea na mipasuko kwa kutojali maamuzi ya wajumbe nawote kuamua kuhamishia kura kwa mtu toka chama kingine,mwaga ugali tumwage mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…