Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Sasa mbona huyu pole pole anataja majina ya wanawake kwa kutumia prefix ya ndugu kwa wanawake badala ya Bibi?!
 
Hajafanya lolote la maana Kawe. Na Gwajima ndo atajustfy hayo .Wanakawe watasema twende na Gwajima. Binafsi mimi nitampigia kura Gwajima.
Sasa mbona ndani ya CCM hakukubalika?
 
Wewe mpuuzi sana au hujui mambo. Halima alipita 2010 kwa vile CCM ilimleta Angela asiyependwa!!!!!!!! Leo hii unataka irudie makosa
2010 ilikuwa tofauti. Any way muda utasema
 
Back
Top Bottom