Umani Wolbachia
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 327
- 311
Hakuna cha kushtuka wala nn wajumbe walimkubali dogo ila sasa ngazi ya mwisho ya maamuzi imeona Gwajima ndo anafaa kupambana na CDM....hatutaki kutumia nguvu safari hiii majibu mtayaona wenyewe kampeni zikianza....ushindi mapemaaaaaWamestuka kelele za mitandaoni. Wakabadili gia angani. Unadhani hawana akili kama wewe?