Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Mpuuzi kabisa . Amani ipi ya uonevu na isiyotaka haki kwa wengine ?!Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo. Sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/ uhalifu/ ujanbazi/ wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
Kwa ulinzi mkubwa kama huu,inaonyesha huyu mstakiwa ana nguvu kubwa sana ya umma.Kwa nini serikali isitumie ushawishi wa watu kama hawa postively.i.e kama ilivyo kule Zenji.hadi kufikia kumshinikiza yule mbunge kujiuzulu kabla ya kuapishwaIjumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021
Wakati wa mzee hakukuwa na habari ya ugaidi ila mama yenu anaeupiga mwingi kumeibuka magaidi 😛😛😛😛😛😛😛Huyu gaidi wa kuogopa kabisa, hii nchi hatukuzoea haya mambo.
Kwa hiyo na wewe ambaye huhangaiki na huu ‘upuuzi’, familia yako inakula bata Dubai? Watu fukara kunuka kama Wewe, ndo wenye hizi propaganda za kijinga kwa kusukumwa na wivu! Unajua hao mabwana zako wa huko kwenye usukumagang wanakula bata wapi? Au unafikiri kwa sababu wanajiita watetezi wa wanyonge, ni wanyonge kama Wewe?! #Lakataduara!utaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!
jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.achana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.
Leo zandrano habanduki humu kwani huo ndio wajibu waliopewa michepuko ya mikesha ya mwenge kama yeye.
zandrano, mbona uko peke yako hadi sasa? johnthebaptist na Kamanda Asiyechoka wamekususia nini!
zandrano, Idugunde na Dr Akili pamoja na IDEGENDA wako wapi? Hii mbona si dalili nzuri kwako?
zandrano, wapigie simu Phillipo Bukililo na Magonjwa Mtambuka waje haraka upate muda wa kupumzika.
zandrano? Masikini zandrano mbona unateseka namna hii peke yako? Pole sana zandrano, balaa gani hii umejitakia!
zandrano yaani hata mama D hajasogea akutupie hata kamba! Kweli unakubali kuzama peke yako, pole sana!
Hao polisi wamejazana hapo hawana kazi nyingine za kufanya ? hawa ndio wanaokula hela zetu za kodi bure, na wanasababuisha walimu wasilipwe mishahara stahiki na kwa wakati, hii nchi ya hovyo sana, watu wanazurula tu wanalipwa mishahara ya bureIjumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021
Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Akina Mandela wangekuwa na mawanzo ya kijinga kama yako wasingekomboa nchiFamilia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona Unampatia baraka za KKKT.Mbowe ni gunia la misumari, kila anayejitwisha lazima atahangaika na kulitua haraka!
Mr Freeman Aikael Mbowe: BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani; katika jina la Mungu Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, Amina.
Mbowe uwe na siku njema yenye baraka!
Ushahidi gani unataka zaidi ya huo? Kusoma hujui hata picha huioni?So what?- "Watanzania siyo wajinga"-Magufuli. Hz unazoleta ni very cheap propaganda,if they are true-Weka ushahd hadharan kuisaidia serikali ili ashtakiwe kwa money laundering-otherwise utakuwa unajenga mawazo rubbish
Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Hapo ndipo nikiwaambia kuwa Mbowe na Lissu hawana busara mniamini. Ile approach dhdi ya Rais SSH ya kumuamrisha ilikuwa WRONGLY Planned and badly timed.Sasa kama upelelezi umekamilika hilo jalada limewashindaje kubeba? Nu zito sana kiasi kwamba linahitaji winchi au liko ng'ambo. Wanajua kuwa kesi ni leo halafu jalada linavaki kwa DPP kwanini?
Baadaye tutaanza kuambiwa hakimu anaumwa, mara kasafiri, mara wakili wa serikali hajafika, mara kuna shitaka la kuongeza mpaka miaka 7 ipite.
Wamefuta kesi za ugaidi kwa mashekhe wa uamsho wamefungua tena kwa Mbowe. Wamerukia neno ugaidi bila kujua maana yake. Watashindana lakini hawatashinda!
Mbona huu upuuzi unarudia rudia kupost? Unachoandika ni upuuzi na ujinga wa hali ya juu.Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Hapo ndipo nikiwaambia kuwa Mbowe na Lissu hawana busara mniamini. Ile approach dhdi ya Rais SSH ya kumuamrisha ilikuwa WRONGLY Planned and badly timed.
Huwezi shindana na state apparatus hata ingekuwa na Katiba Mpya kama ya Kenya au South Africa.
Kumbe mnajua mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya kubumbuka kutokana na hiki ulichoandika hapa!Hapo ndipo nikiwaambia kuwa Mbowe na Lissu hawana busara mniamini. Ile approach dhdi ya Rais SSH ya kumuamrisha ilikuwa WRONGLY Planned and badly timed.
Huwezi shindana na state apparatus hata ingekuwa na Katiba Mpya kama ya Kenya au South Africa.
Hii kesi ya sasa ya mbowe inahusiana vipi na Lowassa kumpa Mbowe pesa kuhamia CDM? Prove it otherwise tunarudi palepale-Tuhuma ulizoleta ni bogusUshahidi gani unataka zaidi ya huo? Kusoma hujui hata picha huioni?
Ni mjinga pekee anayeweza kukuazima akili yake kuamini unayoyaandika kwa kigezo cha kuja na sura ya kujifanya mwanachama wa CDM,This is typical CCM warriors mentality.Watanzania wa sasa siyo wajinga.Hapo ndipo nikiwaambia kuwa Mbowe na Lissu hawana busara mniamini. Ile approach dhdi ya Rais SSH ya kumuamrisha ilikuwa WRONGLY Planned and badly timed.
Huwezi shindana na state apparatus hata ingekuwa na Katiba Mpya kama ya Kenya au South Africa.