Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Nchii hii imefika hapa kwa sababu ya utawala wa kishetani wa ibilisi anayeitwa CCM. Wakati wa mwendakuzimu CCM na utawala wake wa kishetani ilifikia hatua mbaya sana. Kwa kuwa Mungu hadhihakiwi, mwendakuzimu alipopora uchaguzi wa 2020, Mungu alimuonesha kuwa hashindwi kujibu mapigo. Sasa ni juu ya chifu Hanga naye kujiangalia ili naye yasije yakamkuta. Mungu hajawahi kuwaacha waja wake waangamizwe na mashetani wa duniani pasipo kuchukua hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…