wewe kwa akili yako timamu unaona siyo ya kubambikiwa? nchi ina mambo ya kipuuzi sana. hayo mapesa yanayotumika kuendesha hii kesi isiyokuwa na kichwa wala miguu si bora ingetumika kununulia madawati kuna watoto 400 wanasoma wakiwa wamekaa chini huko sengerema? stupid!Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Wana hofu kwamba yule atakayekuja naye ataishia tu kuahidi tuu basi. 🙂Kwani akitoka mama hawezi kuja mtumwingine kuendelea na katiba mpya? ile ni taasisi siyo kiti cha mtu
Imagine ikathibitishwa na mahakama vinginevyo, uko tayari kuwaomba Watanzania msamaha!???wewe kwa akili yako timamu unaona siyo ya kubambikiwa? nchi ina mambo ya kipuuzi sana. hayo mapesa yanayotumika kuendesha hii kesi isiyokuwa na kichwa wala miguu si bora ingetumika kununulia madawati kuna watoto 400 wanasoma wakiwa wamekaa chini huko sengerema? stupid!
Hoja yako ni mbovu kweli. Ugaidi unaelewa hasa maana yake?
Nimeona hapo ulivyozungumzia ugaidi, nikajua tu ^Brigedia, hapa tumepigwa,^ in JPM's voice.hoja upingwa kwa hoja weka wewe hoja yako nzuri
wewe unapigania uhru wa nchi gani kama sio bure utakuwa umeharibiwa akili!! uhuru wa nchi hii ulipatikana tangu mwaka 1961 ndio maana leo hii wewe umezaliwa Tanzania.Waliopigania uhuru wangekuwa na angalau 1% ya ubinafsi uliyonao WEWE hata huyo aliemzaa baba yako asingekuwa na uwezo wa kumlea. WEWE ndio sijui kabisa
hakuna mahakama huru inaweza kuthibitisha huu upuuzi.Imagine ikathibitishwa na mahakama vinginevyo, uko tayari kuwaomba Watanzania msamaha!???
Siyo kosa lake, amekaririshwa tu huyo 🙂wewe unapigania uhru wa nchi gani kama sio bure utakuwa umeharibiwa akili!! uhuru wa nchi hii ulipatikana tangu mwaka 1961 ndio maana leo hii wewe umezaliwa Tanzania.
nenda kafanye kazi kwa faida yako na wanao achana na upuuzi huu wa kufuata upepo.
acha ujuaji,
Kuna mijitu inawafundisha watu uoga wa kingese.utaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!
jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.aana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.
Kumbe Mheshimiwa Sabaya aachiwe huru tu, sivyo!??? Maana mlisisitiza sana afikishwe mahakamani. Au mlimaanisha mahakama za London & Washington!???hakuna mahakama huru inaweza kuthibitisha huu upuuzi.
na wewe siku utakapofukuzwa hapo kwa shemeji yako au huyo mjomba wako na kuanza kutafuta ugali wako mwenyewe ndipo utakapoelewa hawa chadema wanafanya nini sasa hizi na kwa manufaa ya nani, vinginevyo wewe endelea kula chakula cha bure na ulale (irresponsible mind)Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Kama watu wote wangekuwa na ushauri huu nadhan Tanganyika ingekuwa nch ya mwisho kupata uhuru Tena kwa huruma ya waliotutawalautaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!
jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.achana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.
Mleta mada acha uchochezi .ulijuaje Kama alibakikizwa umekuwa mahakama!?, tunachojua watz wote Mr hai,ni gaidi suspect....over! Ukiwa suspect maana yake tunasubili maamuzi ya mahakama huko gaidi alikoshtakiwa na mahakama ya jamhuri.who are you ,kusema amebambikiziwa!?,Mr hai he is terrorists suspect ! Over.Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021
wacha kupoteza muda mkuu.Wapo weusi wengi km wewe waliomwona Mandela, Mbeki, Zuma hivyo hivyo kwenye miaka ya 60, 70, 80... Wewe siyo wa kwanza.
Hii ndiyo njia sahihi ya ukombozi. "It is not a bed of roses".Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021
Mwenzio Mbowe ktk kipindi chote cha ujana wake alipambana kutafuta mali na kazipata ktk nchi hii hii na anao uwezo wa kutosha. familia yake haito pata tabu.Kama watu wote wangekuwa na ushauri huu nadhan Tanganyika ingekuwa nch ya mwisho kupata uhuru Tena kwa huruma ya waliotutawala
Bibi titi nyerere Sykes rupia mkwawa chifu songea kinjekitile wangekuwa lelege Leo hii uhuru ungeuisikia kwenye bomba
Pambaneni na tupambane kumto mkoloni mweusi CCM hakika historia itatukumbuka hata Kama sio leo ipo siku
.... COMRADES NEVER DIE .....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kitu ambacho serikali na the co wanatakiwa kujua ni kwamba suala la kudai KATIBA MPYA Ni suala Endelevu! Yaani wao hata wakitaka kumuua Mhe. MBOWE wamuue ila hiyo haitoondoa KIU ya KATIBA MPYA!
Shujaa Mwendazake Ni Kama vile aliletwa na Mungu Miaka hii michache ili kutuonyesha udhaifu mkubwa wa katiba iliyopo! Hivyo zoezi la kudai Katiba mpya haliwezi kuzuiliwa na hii kesi.. Kesi ipo na Itaisha ila Madai ya KATIBA MPYA YAPO mpaka kieleweke.
Kwani uongo ?!Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Haijalish mm n mwanamapinduz wa kweli che guevara ali pamabana hakuacha kitu chakidunia Zaid ya uhuru kwa watu wake lakn leo n shujaaMwenzio Mbowe ktk kipindi chote cha ujana wake alipambana kutafuta mali na kazipata ktk nchi hii hii na anao uwezo wa kutosha. familia yake haito pata tabu.
sasa wewe unataka kuchezea nguvu zako na muda wako badala kujitafutia riziki wewe umebaki kupoteza muda.
Usitutukane. Mhuni nawe.Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo. Sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/ uhalifu/ ujanbazi/ wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.