Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh Tundu Lissu Mkoani Mara, Serengeti

Leteni hizo video polisi wakifyatua risasi na kurusha mabomu ya machozi.
Nilijua tu lazima itafika mahali kuanzia wiki hii polisi wataanza kuwatishia watu wasiende kwenye mikutano ya Lissu na hii inatoka Dodoma.
 
Nyamongo
Your browser is not able to display this video.
 
wananchi wachoshwa na uonevu
Your browser is not able to display this video.
 
Ndio hivyo tena
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • _Baada Ya Polisi Wilaya Tarime kuvamia, kupiga Mabomu, risasi za Moto na kuumiza ( 423 X 750 ).mp4
    5.4 MB
Hakika
 
Nasubiri list ya viti maalumu maeneo haya mnayopewa nyomi la kutosha.
 
Hakuna wanafunzi kweli humo??😝
Natania makamanda!

Everyday is Saturday..............................😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…