Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha.
Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "
=======
Babati
[16:00, 10/18/2020] New Makene Tumaini Chadema: Mkutano mkubwa wa kampeni za uchaguzi kwenye viwanja vya kwa Raha, wilayani Babati, mkoani Manyara.
Mheshimiwa Tundu Lissu akiongea na wananchi wa Babati.
Ahsanteni sana watu wa Babati kwa mapokezi na wingi wenu hapa leo. Lakini nawapa pole kwa kuumizwa kwenye hii miaka mitano. Miaka hii mitano iliyopita ni miaka ya ajabu, nalakusikitisha zaidi kwa mara ya kwanza kwenye majimbo ambayo tumeshinda mwaka huu hatuna wagombea kwa sababu ya serikali na tume ya uchaguzi wanataka CCM isitoke madarakani. Mwaka huu wagombea 35 Chadema wameenguliwa kwasabau binafsi za tume.
Watu wa Babati zimebaki siku 10, tutapiga kura Kwenye mazingira haya Haya magumu na tutashinda uchaguzi. Kitu pekee walichobaki Nacho MaCCM ni Tume ya uchaguzi. CCM wamekosa kibali cha wananchi, mikutano yao sasahivi wanakodisha wasanii. Mwaka 2015 Magufuli alikuwa anapiga push-up Ila mwaka huu anapiga magoti. Babati tarehe 28 twende tukapige kura ya ukombozi na tumshinde Magufuli na washirika wake.
Magufuli ni mtu wa ovyo, amejenga kiwanja cha ndege Kwao, lakini wananchi hawana maji. Amejenga kanisa kubwa akaliita St. Joseph akawaambia wakatoliki mje msali hapa, akaambiwa sisi hatujengewi makanisa. Magufuli amekuwa raisi wa ovyo.
Babati kwenye hii miaka mitano tumeumizwa,........
Babati zimebaki siku 10 kuelekea uchaguzi mkuu, sasa nataka niwaambie kuhusu hatari..
- Hatari ya kwanza nikuapishwa kwa Mawakala. Sheria inataka mawakala lazma waapishwe. Sasa CCM watataka mawakala wetu wasiapishwe. Tume na Wakurugenzi wanawajibu wakuwaapisha mawakala na wasipo waapisha wanataka ugomvi. Hakikisheni Mawakala wanaapishwa na wasipowaapisha wanataka ugomvi wapeni ugomvi.
- Hatari ya pili ni mawakala kuingia kwenye vituo. Tume itataka mawakala wetu wasiingie kwenye vituo. Sheria inasema tunahaki kuwa na mawakala, sasa tume wakitaka kuwazuia ni wanataka ugomvi na tuwape ugomvi.
- Hatari ya Tatu ni mawakala kunyimwa formu ya matokeo, kila wakala ana haki kupata nakala za matokeo. Formu ya matokeo ni ushahidi wa Matokeo kwenye kituo husika. Nakupewa matokeo ni muhimu.
Hatari ya nne ni CCM watatengeneza vituo hewa. Kila mahali kuna orodha ya vituo, hakikisheni mnakuwa na orodha Ili wasije wakaingizie. Hakikisheni hamuendi kwenye majumuisho ya kura.
- Hatari ya Tano ni kwenye kutangaza matokeo. Dawa yakuwazuia wasitangaze mtu ambaye hajashinda, ikifika saa sita hakikisheni mna formu za matokeo mmejumlisha matokeo na mkiona mmeshinda ingieni mtaani ijulisheni dunia. Sio kosa la jinai ukijua umeshinda na ushahidi unao ukajitangaza. Lazima tuache uoga ili tusikubali kuibiwa.
Babati tutashinda uchaguzi huu sababu watanzania wameshaamua na watafanya maamuzi, tutangazwa kwa heri au kwa shari. Jana mpwa wake Magufuli yule Kheri James wamesema hawatatumia risasi ila watatumia sindano za sumu, sasa sasa kama wanataka kufanya mchezo kuchezea uchaguzi huu wataishia thé Hegue. Wataishia kuwa wafungwa wahalifu wa Kimataifa wafanye hayo wanayoyasema.
Mwisho Babati nawaomba mtupe serikali, tupeni mamlaka tulinde haki yako na maslahi yako. Chadema tutatengeneza serikali itakayojali uhuru, haki na maendeleo ya watu.
Ahsanteni Babati na Mungu awabariki sana.
Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "
=======
Babati
[16:00, 10/18/2020] New Makene Tumaini Chadema: Mkutano mkubwa wa kampeni za uchaguzi kwenye viwanja vya kwa Raha, wilayani Babati, mkoani Manyara.
Mheshimiwa Tundu Lissu akiongea na wananchi wa Babati.
Ahsanteni sana watu wa Babati kwa mapokezi na wingi wenu hapa leo. Lakini nawapa pole kwa kuumizwa kwenye hii miaka mitano. Miaka hii mitano iliyopita ni miaka ya ajabu, nalakusikitisha zaidi kwa mara ya kwanza kwenye majimbo ambayo tumeshinda mwaka huu hatuna wagombea kwa sababu ya serikali na tume ya uchaguzi wanataka CCM isitoke madarakani. Mwaka huu wagombea 35 Chadema wameenguliwa kwasabau binafsi za tume.
Watu wa Babati zimebaki siku 10, tutapiga kura Kwenye mazingira haya Haya magumu na tutashinda uchaguzi. Kitu pekee walichobaki Nacho MaCCM ni Tume ya uchaguzi. CCM wamekosa kibali cha wananchi, mikutano yao sasahivi wanakodisha wasanii. Mwaka 2015 Magufuli alikuwa anapiga push-up Ila mwaka huu anapiga magoti. Babati tarehe 28 twende tukapige kura ya ukombozi na tumshinde Magufuli na washirika wake.
Magufuli ni mtu wa ovyo, amejenga kiwanja cha ndege Kwao, lakini wananchi hawana maji. Amejenga kanisa kubwa akaliita St. Joseph akawaambia wakatoliki mje msali hapa, akaambiwa sisi hatujengewi makanisa. Magufuli amekuwa raisi wa ovyo.
Babati kwenye hii miaka mitano tumeumizwa,........
Babati zimebaki siku 10 kuelekea uchaguzi mkuu, sasa nataka niwaambie kuhusu hatari..
- Hatari ya kwanza nikuapishwa kwa Mawakala. Sheria inataka mawakala lazma waapishwe. Sasa CCM watataka mawakala wetu wasiapishwe. Tume na Wakurugenzi wanawajibu wakuwaapisha mawakala na wasipo waapisha wanataka ugomvi. Hakikisheni Mawakala wanaapishwa na wasipowaapisha wanataka ugomvi wapeni ugomvi.
- Hatari ya pili ni mawakala kuingia kwenye vituo. Tume itataka mawakala wetu wasiingie kwenye vituo. Sheria inasema tunahaki kuwa na mawakala, sasa tume wakitaka kuwazuia ni wanataka ugomvi na tuwape ugomvi.
- Hatari ya Tatu ni mawakala kunyimwa formu ya matokeo, kila wakala ana haki kupata nakala za matokeo. Formu ya matokeo ni ushahidi wa Matokeo kwenye kituo husika. Nakupewa matokeo ni muhimu.
Hatari ya nne ni CCM watatengeneza vituo hewa. Kila mahali kuna orodha ya vituo, hakikisheni mnakuwa na orodha Ili wasije wakaingizie. Hakikisheni hamuendi kwenye majumuisho ya kura.
- Hatari ya Tano ni kwenye kutangaza matokeo. Dawa yakuwazuia wasitangaze mtu ambaye hajashinda, ikifika saa sita hakikisheni mna formu za matokeo mmejumlisha matokeo na mkiona mmeshinda ingieni mtaani ijulisheni dunia. Sio kosa la jinai ukijua umeshinda na ushahidi unao ukajitangaza. Lazima tuache uoga ili tusikubali kuibiwa.
Babati tutashinda uchaguzi huu sababu watanzania wameshaamua na watafanya maamuzi, tutangazwa kwa heri au kwa shari. Jana mpwa wake Magufuli yule Kheri James wamesema hawatatumia risasi ila watatumia sindano za sumu, sasa sasa kama wanataka kufanya mchezo kuchezea uchaguzi huu wataishia thé Hegue. Wataishia kuwa wafungwa wahalifu wa Kimataifa wafanye hayo wanayoyasema.
Mwisho Babati nawaomba mtupe serikali, tupeni mamlaka tulinde haki yako na maslahi yako. Chadema tutatengeneza serikali itakayojali uhuru, haki na maendeleo ya watu.
Ahsanteni Babati na Mungu awabariki sana.