Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha.

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "

MANYARA Mpooooooo!!   KESHO._v_️_v_️_v_️ ( 640 X 640 ).jpg


=======

Babati

[16:00, 10/18/2020] New Makene Tumaini Chadema: Mkutano mkubwa wa kampeni za uchaguzi kwenye viwanja vya kwa Raha, wilayani Babati, mkoani Manyara.

Mheshimiwa Tundu Lissu akiongea na wananchi wa Babati.

Ahsanteni sana watu wa Babati kwa mapokezi na wingi wenu hapa leo. Lakini nawapa pole kwa kuumizwa kwenye hii miaka mitano. Miaka hii mitano iliyopita ni miaka ya ajabu, nalakusikitisha zaidi kwa mara ya kwanza kwenye majimbo ambayo tumeshinda mwaka huu hatuna wagombea kwa sababu ya serikali na tume ya uchaguzi wanataka CCM isitoke madarakani. Mwaka huu wagombea 35 Chadema wameenguliwa kwasabau binafsi za tume.

Watu wa Babati zimebaki siku 10, tutapiga kura Kwenye mazingira haya Haya magumu na tutashinda uchaguzi. Kitu pekee walichobaki Nacho MaCCM ni Tume ya uchaguzi. CCM wamekosa kibali cha wananchi, mikutano yao sasahivi wanakodisha wasanii. Mwaka 2015 Magufuli alikuwa anapiga push-up Ila mwaka huu anapiga magoti. Babati tarehe 28 twende tukapige kura ya ukombozi na tumshinde Magufuli na washirika wake.

Magufuli ni mtu wa ovyo, amejenga kiwanja cha ndege Kwao, lakini wananchi hawana maji. Amejenga kanisa kubwa akaliita St. Joseph akawaambia wakatoliki mje msali hapa, akaambiwa sisi hatujengewi makanisa. Magufuli amekuwa raisi wa ovyo.

Babati kwenye hii miaka mitano tumeumizwa,........


Babati zimebaki siku 10 kuelekea uchaguzi mkuu, sasa nataka niwaambie kuhusu hatari..

- Hatari ya kwanza nikuapishwa kwa Mawakala. Sheria inataka mawakala lazma waapishwe. Sasa CCM watataka mawakala wetu wasiapishwe. Tume na Wakurugenzi wanawajibu wakuwaapisha mawakala na wasipo waapisha wanataka ugomvi. Hakikisheni Mawakala wanaapishwa na wasipowaapisha wanataka ugomvi wapeni ugomvi.

- Hatari ya pili ni mawakala kuingia kwenye vituo. Tume itataka mawakala wetu wasiingie kwenye vituo. Sheria inasema tunahaki kuwa na mawakala, sasa tume wakitaka kuwazuia ni wanataka ugomvi na tuwape ugomvi.

- Hatari ya Tatu ni mawakala kunyimwa formu ya matokeo, kila wakala ana haki kupata nakala za matokeo. Formu ya matokeo ni ushahidi wa Matokeo kwenye kituo husika. Nakupewa matokeo ni muhimu.

Hatari ya nne ni CCM watatengeneza vituo hewa. Kila mahali kuna orodha ya vituo, hakikisheni mnakuwa na orodha Ili wasije wakaingizie. Hakikisheni hamuendi kwenye majumuisho ya kura.

- Hatari ya Tano ni kwenye kutangaza matokeo. Dawa yakuwazuia wasitangaze mtu ambaye hajashinda, ikifika saa sita hakikisheni mna formu za matokeo mmejumlisha matokeo na mkiona mmeshinda ingieni mtaani ijulisheni dunia. Sio kosa la jinai ukijua umeshinda na ushahidi unao ukajitangaza. Lazima tuache uoga ili tusikubali kuibiwa.

Babati tutashinda uchaguzi huu sababu watanzania wameshaamua na watafanya maamuzi, tutangazwa kwa heri au kwa shari. Jana mpwa wake Magufuli yule Kheri James wamesema hawatatumia risasi ila watatumia sindano za sumu, sasa sasa kama wanataka kufanya mchezo kuchezea uchaguzi huu wataishia thé Hegue. Wataishia kuwa wafungwa wahalifu wa Kimataifa wafanye hayo wanayoyasema.

Mwisho Babati nawaomba mtupe serikali, tupeni mamlaka tulinde haki yako na maslahi yako. Chadema tutatengeneza serikali itakayojali uhuru, haki na maendeleo ya watu.

Ahsanteni Babati na Mungu awabariki sana.



MANYARA Mpooooooo!!   KESHO._v_️_v_️_v_️ ( 640 X 640 ).jpg


IMG_5827.jpg
IMG_5832.jpg
IMG_5833.jpg
IMG_5835.jpg
IMG_5857.jpg
IMG_5858.jpg
MANYARA Mpooooooo!!   KESHO._v_️_v_️_v_️ ( 640 X 640 ).jpg


IMG_5827.jpg
IMG_5832.jpg
IMG_5833.jpg
IMG_5835.jpg
IMG_5857.jpg
IMG_5858.jpg
IMG_5886.jpg
IMG_5892 (3).jpg
IMG_5899.jpg
IMG_5906.jpg
IMG_5914.jpg
 
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha .

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1603756

=======
Kanyaga twende baba. Mungu akutangulie.
 
Sasa imefika patamu.

Katibu Mkuu CCM na yule zezeta Popole ukiwasikiliza wanayonena sasa hivi utajua mkanganyiko tayari umeingia ndani ya chama hicho.

Hata zile 'Fiesta' sasa zimekosa maana; haziongezi chochote kwenye kampeni za mgombea wa chama hicho.

Hapa jamvini, hali haina tofauti. Akina Paskali wenye Njaa na ayohani Mbatizaji na kundi zima wamekuwa wa kuokoteza vijimaneno, au hawaonekani kabisa.

Hakika kuna jambo kubwa linategemewa kutokea hivi karibuni.

Huyu Jamaa aliyebugia shaba zaidi ya 16, ndio kwanza anaonekana kama kaongezewa damu mpya na nguvu zisizoelezeka zinatoka wapi!
Na yule mwenzake, zile 'pushup, safari hii zimegeuka na kuwa kutambaa kwa magoti, akiwalilia aliokuwa akiwafokea kama watoto wasimtupe mkono.

Lakini wapiga kura wasisahau, kiongozi anayekuwa juu ya sheria na katiba iliyomweka madarakani, wakifanya makosa baada ya kushuhudia yaliyofanyika, wakumbuke yatakayofuata wakifanya makosa tena safari hii, hawataishi kuyasahau.
 
Sasa imefika patamu.

Katibu Mkuu CCM na yule zezeta Popole ukiwasikiliza wanayonena sasa hivi utajua mkanganyiko tayari umeingia ndani ya chama hicho.

Hata zile 'Fiesta' sasa zimekosa maana; haziongezi chochote kwenye kampeni za mgombea wa chama hicho.

Hapa jamvini, hali haina tofauti. Akina Paskali wenye Njaa na ayohani Mbatizaji na kundi zima wamekuwa wa kuokoteza vijimaneno, au hawaonekani kabisa.

Hakika kuna jambo kubwa linategemewa kutokea hivi karibuni.

Huyu Jamaa aliyebugia shaba zaidi ya 16, ndio kwanza anaonekana kama kaongezewa damu mpya na nguvu zisizoelezeka zinatoka wapi!
Na yule mwenzake, zile 'pushup, safari hii zimegeuka na kuwa kutambaa kwa magoti, akiwalilia aliokuwa akiwafokea kama watoto wasimtupe mkono.

Lakini wapiga kura wasisahau, kiongozi anayekuwa juu ya sheria na katiba iliyomweka madarakani, wakifanya makosa baada ya kushuhudia yaliyofanyika, wakumbuke yatakayofuata wakifanya makosa tena safari hii, hawataishi kuyasahau.
Nimejikuta nacheka sana 😆😆😆
 
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha .

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "

View attachment 1603756

=======
Hakupita KONGWA?
 
Habari kamili zinasema Interahamwe wa CCM huko Visiwani wameanza kuzipiga X Nyumba za Wazanzibari walioko Upinzani ili ACTwazalendo wakitangazwa waanze Mauwaji ya kurusha.
Hataya kwetu imewekwa lakni tumeshajipanga na wala hazifutwi zimewachwa hivyohivyo. Ikiwa ccm wanatka ujinga tutakufa nao kila anaejifanya mshenzi tutamnyoosha naye tukimpata.
 
Back
Top Bottom