minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kaburu mweusi tokea chato anaenda na maji Nchi itapata uhuru tarehe 28Bado siku chache sana nchi yetu ikombolewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaburu mweusi tokea chato anaenda na maji Nchi itapata uhuru tarehe 28Bado siku chache sana nchi yetu ikombolewe
Mkoloni mweusi kaburu tokea chato anakwenda na Nchi ya Tanzania kupata UhuruHili Zee Tarehe 28 litapigwa asubuhi na mapema.
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaHaya marangi ya nguo zao nikiyatizama huwa nasisimukwa mwili,nahisi damu damu hivi
Lakini mkuu hauoni kuna conflict of interests kucomment masuala ya siasa ilihali upo private sector hasa kitengo nyeti kma hiko tena kwa verified account?
Otherwise kutojibu mada kwa kisingizio cha professionalism ilihali mada zingine za kisiasa unashiriki ni contradiction? Unless unaogopa ukikosoa sera za kiuchumi uta compromise nafasi yako.
I guess using an anonymous ID is a better option in such circumstances.
Usinene kwa hasira, wewe unayeona karibu ndo wasema hali ni tete ila wote tunaoona mbali, hali ni shwari kabisa.Aliyekuambia kuwa haiwezekani kuapishwa ni nani? Nimekuambia hali ni tete si kama unavyoirahisisha wewe hapa jukwaani. Focus.
Tulia Tulia, usipanic unaweza ukapaliwa na mate, kwa hiyo wewe na ulofa wako kabisa unaamini Aunt Li, atashinda???Labda akaapishiwe chumbani kwa mumeo
Ana Mkusanyia Magufuli. Tarehe 28 Oktoba tunachukua tunaweka waaaa. CCM shangilia ushindi unakuja.T
Tundu Lissu anakusanya kura zote kila kona.
Hapana atashinda mumeo vipi umeshajifungua?Tulia Tulia, usipanic unaweza ukapaliwa na mate, kwa hiyo wewe na ulofa wako kabisa unaamini Aunt Li, atashinda???
Hizo hasira zoote zinatokana na kukabwa koo na Lissu. Mtakoma mwaka huu.Ndo maana wafuasi wote wa Chama cha MBOWE mliitwa Manyumbu mnaendelea kudhihilisha Unyumbu wenu humu!
Mwanaume kama wewe kusasambua ni aibu sanaNdo maana wafuasi wote wa Chama cha MBOWE mliitwa Manyumbu mnaendelea kudhihilisha Unyumbu wenu humu!
Kisusio kinawakusha wewe sio bure, sasa muda umewadi jiandae kwenda ubelgiji ukaolewJibu swali wewe bibie umeshajifungua? halafu kwanini unatumia Id ya mumeo?