Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

View attachment 1604230
Maendeleo ya vitu sio kabisa makamanda. Maendeleo ya watu ndio kila kitu.
Hapa ndo CCM mnaonekana hamnazo kabsa? Huu ujinga ungeenda kuusema hasa kwa wajinga wenzenu ili waendelee kua wajinga sio kuleta hapa jamii forum kwa watu welewa,

Hivi unafikiri hakini Lema wanasema kwa sababu yao au kwa sababu ya mamilioni ya watanzania ambao kodi zao zinaenda kununua Ndege ili akina Magufuli wapende wakati wao wanakosa hata maji tu, dawa hospital ndo usiseme
 
Maendeleo ya watu-Uwekezaji kwa rasilimali watu (mfano bima ya afya kupitia SWF ya gesi). Maana haina maana ya kuwekeza zaidi ya trillion 6 kwenye mradi ilihali vijana wanalia hawana mitaji ya biashara au wakulima wanalia hawana masoko au pesa za kuwekeza kilimo cha umwagiliaji.

Haki- Utawala wa sheria na siku 100 za kwanza anaanza na kuleta katiba mpya. Ataanzisha taxpayer bill of rights ili kuguarantee haki za mjasiriliamali kwenye masuala ya kodi na mifumo inayohusika.

Uhuru- Kuleta soko huria haswaa ambalo serikali haiingilii utendaji kazi wake ila inakua regulator tu. Vyombo vya habari kutoingiliwa uhuru. Wafanyabiashara kufanya kwa uhuri bila hofu ya TRA kuwalimbikizia makodi makubwa.

Karibu tujadili mapungufu au faida ya hizi sera zake.
Kabla sijaweka hoja zangu hapa.
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya maendeleo kwa mistari miwili utaweza?
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya haki utaweza?
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya uhuru utaweza?
 
Wewe hupo humu unafurahi ila Hesabu ya kipindi hiki imekuwa ngumu sana, ufaulu si mwepesi kama ilivyotegemewa, kuna hesabu haikudhaniwa wala kufikiriwa kabisa kuwa ipo kipindi hichi ila taarifa zimeshawafikia wanaosolve hesabu kuwa hiyo hesabu inatakiwa ijibiwe tena haraka. Saa hizi wanajitahidi kuangalia namna ya kuikwepa hesabu ila bado njia haijapatikana, wewe upo humu unasubiri kusikia tu matokeo uendelee kushangilia. Jiandae kwa lolote, walinzi wako wameshaanza kujiandaa. Ila matumaini bado yapo.
Umeandika Ugoro kabisa, siasa haipo kama unavyowaza wewe, siasa sio kama mipango yako ya kununua nguo ya ndani.
 
Umeandika Ugoro kabisa, siasa haipo kama unavyowaza wewe, siasa sio kama mipango yako ya kununua nguo ya ndani.
We jiongeleshe unavyopenda ila Mm siwazi tu, nipo najionea yanayoendelea. Halafu ww inaonekana ni kada mpya, kuna kada wazoefu wachache sana wanao opt kutumia lugha uliyotumia.
 
Kabla sijaweka hoja zangu hapa.
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya maendeleo kwa mistari miwili utaweza?
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya haki utaweza?
Ukipewa nafasi ya kuelezea maana ya uhuru utaweza?
Sikiliza bwana mdogo, maana ya neno inategemeana na context kuna nchi ukisema uhuru una maana kufunguliwa kwenye lockdown au kuruhusiwa ndoa ya jinsia moja kwa hiyo hakuna universal definition ya uhuru au maendeleo.

Sasa usianze kulazimisha maendeleo ni kma definition ya Lumumba kuwa ni SGR na miundombinu!! Mie nmejibu kwa context ya Lissu sasa kazi kwako kuonyesha udhaifu wa hiyo sera.

Ukishindwa basi tarehe 28 kura yako itupie kwa Lissu na utakua umefungua ukurasa mpya wa mabadiliko.
 
Sikiliza bwana mdogo, maana ya neno inategemeana na context kuna nchi ukisema uhuru una maana kufunguliwa kwenye lockdown au kuruhusiwa ndoa ya jinsia moja kwa hiyo hakuna universal definition ya uhuru au maendeleo.

Sasa usianze kulazimisha maendeleo ni kma definition ya Lumumba kuwa ni SGR na miundombinu!! Mie nmejibu kwa context ya Lissu sasa kazi kwako kuonyesha udhaifu wa hiyo sera.

Ukishindwa basi tarehe 28 kura yako itupie kwa Lissu na utakua umefungua ukurasa mpya wa mabadiliko.
Aunt Li atapata kura za mashoga wenzake ila sio mimi aisee. Nakushauri na wewe epuka kuleta zahma za Sodoma na Gomora hapa Tanzania. Chagua CCM Chagua Magufuli
 
Hapa Bomang’ombe sheick Ponda amesema “Mtu alikula hela ya matibabu ya mgonjwa, akala hela ya sanda, mtamchagua asimamie mirathi ya marehemu?!!” ccm wapumzishwe tu!
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu chadema watadai wameibiwa kura.
Ngoja upgwe tu huna kazi na mifisi zenu hizo hatutaki hujuma hapa
 
Bomang’ombe hiyo!
 

Attachments

  • 43CA9421-8CED-4CFD-A9B4-57742EEED730.jpeg
    43CA9421-8CED-4CFD-A9B4-57742EEED730.jpeg
    110.6 KB · Views: 3
Mimi sio muhasibu wa cdm, hilo la kuliwa hela mnalijua huko ccm,ww unayejua Mbowe Kala hela ni jukumu lako kupiga kelele. Ninachoamini mimi ni kuwa kiongozi mzuri mwisho ni miaka 10 kwenye nafasi moja, akizidi hapo ni uhuni mtupu. Lisu anangaika kufanya kampeni! Kwani kampeni ni nini kama sio kuhangaika? Utapigania mabasha vibaya sana hapa jukwaani lakini hutapata.


kwan mbowe yupo kwenye huo wadhifa kwa mda gan? miaka haifiki 20?
 
kwan mbowe yupo kwenye huo wadhifa kwa mda gan? miaka haifiki 20?

Pitia post zangu kama kuna mahali popote naunga mkono Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya miaka 10. Hasa uchaguzi huu wa juzi, na nilianzisha uzi kabisa kukataa huo uhuni.
 
Pitia post zangu kama kuna mahali popote naunga mkono Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya miaka 10. Hasa uchaguzi huu wa juzi, na nilianzisha uzi kabisa kukataa huo uhuni.

mkuu nlishasoma hio post mda mrefu sana nadhan nlikupongeza pia, ila kuna viumbe bado wamekaza fuvu
 
Back
Top Bottom