Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Najibu original post yako maana naona unatanua mjadala kwa irrelevant issues.
Aisee!!! Mpaka hapa, binafsi nawaachia wafuatiliaji wa mjadala huu nao wapate haki ya kutathmini maelezo tuliyotoa kisha wao wataamua ni " issues zipi ni relevant".

Kila la heri mkuu. Tukutane 28/10/2020 kumchagua rais, mbunge na diwani atakayetanguliza maslahi ya watanzania na uimara wa Taifa letu Tanzania katika nyanja zote.
 
Mwaka huu sijasikia wakisema watu waende na peni zao kwamba zile peni zilizowekwa pale na Tume zinafutika na kujiweka tick sehemu ya mgombea wa ccm:
 
Muda unawezwa kuongezwa wakati kuna dharura ambayo lazima mzooefu awavushe, hata Marekani: Roosevelt amekaa muda zaidi ya katiba,zaidi ya vipindi viwili. Hata uchaguzi unaweza kuahirishwa kutokana na dharula ya vita : Uingereza: Winston Churchill, Ufaransa: Charles De Gaulle.

Lakini miaka kumi inatosha, inatoa nafasi ya nguvu mpya na akili mpya.
TUMEKWENDA SAWA LEO.

Dharura inaeleweka na hakuna mtu atakayekuwa na tatizo na hilo. Angalia viongozi wote waliotawala zaidi ya miaka kumi na mambo yaliyo/ yanaendelea kwenye nchi zao, wengi ni matatizo na kushuka ubora wa utawala wao. List hapo chini
  1. Nyerere
  2. Moi
  3. Ghaddaf
  4. Mugabe
  5. Paul Biya
  6. Hosni Mubarak
  7. Museveni
  8. Mobutu
Hiyo ni list ya viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miaka kumi, na kuishia kuharibu ubora wa tawala zao. Hata Mbowe angalia amefanya vizuri sana kwenye miaka 10, kwa sasa mizengwe inakuwa mingi, na lazima itaharibu ubora aliokuwa nao.
 
Ila naona kuna watu wamo kwaajili ya kutukana, na wengi ID zao ni Aug-Sep na Oct hii
 
Bia yao au dada kawe alumini hana cha kuongea siku hizi utasikia unachuka unaweka waa

Yohane mbatizaji maneno yameisha utasikia maendeleo hayana vyama

Changudoa wa malunde crimea yehoyuda hawana chochote zaidi ya porojo tu.

Daaah hizi buku 7 maskini wisho mwezi huu
Oyaaaaa 😂
 
Wamasai wapandisha Mori baada ya kumuona Tundu Lissu huko Manyara

CCM KWISHAAA!!!HAHAHAAA!!!

Hahaha safi Sana ..hawa wamasai waombe mizimu ya kwao lissu ashinde .akishinda jiwe watafukuzwa wote katika ardhi yao wataambiwa kuwa waaishi ktk ardhi yenye hifadhi ya tiafa 😂 😂 ..jiwe kwa visasi tena
 
Back
Top Bottom