Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Wanachama ndo wa kuwa makini nao maana ni wanachama aina ya team Membe team Lowasa na ukweli ni kuwa hii kujidai kwa Tl ni kwasababu wanachama hawafanyi kazi yao. Hakuna chama chenye watu wanaojua figisu za siasa kama chama tawala.... Hii nguvu aliyonayo Tl ni wanachama wa ccm wamempa. Ndo maana leo anafungia kampeni Dar-es-salaam. Katika maeneo yooote, Tl anaachwa akafungie kampeni Dar.
Hata akitaka afungie kampeni kwa Amsterdam oktoba 28, kipigo kipo palepale
 
Hata akitaka afungie kampeni kwa Amsterdam oktoba 28, kipigo kipo palepale
Wewe si unasheherekea tu humu hufahamu lolote, wanaopambana kumdhibiti wametuacha mitandaoni wapo field wanaumiza vichwa huko na dawa wanayompikia hawana uhakika kama itafanya kazi. Safari hii ni kuomba tu lipite bila kuacha alama.
 
Wewe si unasheherekea tu humu hufahamu lolote, wanaopambana kumdhibiti wametuacha mitandaoni wapo field wanaumiza vichwa huko na dawa wanayompikia hawana uhakika kama itafanya kazi. Safari hii ni kuomba tu lipite bila kuacha alama.
Mkuu mambo magumu Bashiru na polepole KUTIKAVU
 
Wewe si unasheherekea tu humu hufahamu lolote, wanaopambana kumdhibiti wametuacha mitandaoni wapo field wanaumiza vichwa huko na dawa wanayompikia hawana uhakika kama itafanya kazi. Safari hii ni kuomba tu lipite bila kuacha alama.
Wewe endelea na Assumptions, lakini tambua siasa ni hesabu
 
Sera yake ipi huyo Auny Li? Kwa maana ushawishi wa mtu mwenye weledi kukupigia kura ni sera zako kwanza.
Maendeleo ya watu-Uwekezaji kwa rasilimali watu (mfano bima ya afya kupitia SWF ya gesi). Maana haina maana ya kuwekeza zaidi ya trillion 6 kwenye mradi ilihali vijana wanalia hawana mitaji ya biashara au wakulima wanalia hawana masoko au pesa za kuwekeza kilimo cha umwagiliaji.

Haki- Utawala wa sheria na siku 100 za kwanza anaanza na kuleta katiba mpya. Ataanzisha taxpayer bill of rights ili kuguarantee haki za mjasiriliamali kwenye masuala ya kodi na mifumo inayohusika.

Uhuru- Kuleta soko huria haswaa ambalo serikali haiingilii utendaji kazi wake ila inakua regulator tu. Vyombo vya habari kutoingiliwa uhuru. Wafanyabiashara kufanya kwa uhuri bila hofu ya TRA kuwalimbikizia makodi makubwa.

Karibu tujadili mapungufu au faida ya hizi sera zake.
 
Mwisho Babati nawaomba mtupe serikali, tupeni mamlaka tulinde haki yako na maslahi yako. Chadema tutatengeneza serikali itakayojali uhuru, haki na maendeleo ya watu.

Ahsanteni Babati na Mungu awabariki sana
Ndugu Lissu, tupe majibu ya maswali haya kabla ya tarehe 28/10/2020.
====
Nawashukuru Jamiiforum.com kwa kutoa furusa hii ya kuuliza maswali. Nina imani mlengwa atayatendea haki maswali yetu kwa kuyajibu kwa ufasaha na kwa staha.

Maswali yangu ni haya kwa kuanzia.
1. Miaka kadhaa iliyopitia, Mtanzania mwenzetu ndugu Lissu, ukiwa bado mbunge ulinukuliwa ukiitakia mabaya Tanzania na watanzania wote hasa wale wenye uwezo mdogo kiuchumi. Ndugu Lissu ulinukuliwa ukisema kuwaunaitaka dunia/ ulimwengu iifungie/ iwekee vikwazo vya kiuchumi, kidiplomasia, kisiasa, kijamii na mengine kama hayo, yaani dunia itemee mate Tanzania. Kwa uhalisia vikwazo hivi vilipotumika kwenye nchi nyingine mfano Zimbabwe, Iran, hata Venezuela uathiri wananchi wenye vipato vya chini na kati, ambao kwa hapa Tanzania ndio walio walio wengi.

Je, Katika mazingira kama haya Watanzania hawa, sisi, tulio wengi tutapa sababu gani za kukuamini kuwa unaweza kuwa kiongozi wa nchi yetu na kujali maslahi ya nchi hii na watu wake wakati kwa vikwazo ulivyotuombea sisi vitupate vina lenga kukuimarisha wewe binafsi mbele ya wale ambao hawatutakii mema sisi watanzania na nchi yetu kwa ujumla wake!?

2. Siku kadhaa zilizopita ukiwa Mkoani Kilimanjaro, ulinukuliwa kupitia vyombo vya habari ikiwemo televisheni ya ITV ukisema kuwa utarudisha madaraka kwa wananchi kama ilivyokuwa wakati wa Ukoloni. Tulio wengi tunajua wakati wa ukoloni watanzani/wananchi walifanywa manamba na wengine kuuzwa nje kama watumwa.

Je, Kwa kauli hii sisi watanzania tutaachaje kuamini kuwa kipindi tu Ndugu Yetu Lissu utakapopata madaraka ya nchi hii utatuuza watanzania kwa mafungu kama bidhaa sawa na kipindi cha Ukoloni na hivyo ni halali tukunyime kura!?

3. Vyombo kadhaa vya kimataifa na baadhi vya humu nchini vimeandika habari kuwa unasimamiwa na mwansheria wa kimataifa ambaye si mtanzania. Pia wakati wamchakato wako wakupat nafasi ya kugombea inasemwa ulishawishi wajumbe wa mkutano kuvuruga wimbo wa Taifa kwa kuongeza maneno ambayo hayapo. Je, Kwa mambo yote mawili yaliyotajwa sisi watanzania tunakosaje haki ya kukunyima kura kwa kuonyesha unatudharau watanzania na pia unadharau mambo yanayotambulisha utanzania wetu!?

Karibu kwa majibu.

Source:Uchaguzi 2020 - EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii
====
 
Wewe endelea na Assumptions, lakini tambua siasa ni hesabu
Wewe hupo humu unafurahi ila Hesabu ya kipindi hiki imekuwa ngumu sana, ufaulu si mwepesi kama ilivyotegemewa, kuna hesabu haikudhaniwa wala kufikiriwa kabisa kuwa ipo kipindi hichi ila taarifa zimeshawafikia wanaosolve hesabu kuwa hiyo hesabu inatakiwa ijibiwe tena haraka. Saa hizi wanajitahidi kuangalia namna ya kuikwepa hesabu ila bado njia haijapatikana, wewe upo humu unasubiri kusikia tu matokeo uendelee kushangilia. Jiandae kwa lolote, walinzi wako wameshaanza kujiandaa. Ila matumaini bado yapo.
 
Raisi mtarajiwa Tundu Lissu ameahidiwa kuogeshwa kwa Maziwa pindi afikapo Mbulu
 
Sasa imefika patamu.

Katibu Mkuu CCM na yule zezeta Popole ukiwasikiliza wanayonena sasa hivi utajua mkanganyiko tayari umeingia ndani ya chama hicho.

Hata zile 'Fiesta' sasa zimekosa maana; haziongezi chochote kwenye kampeni za mgombea wa chama hicho.

Hapa jamvini, hali haina tofauti. Akina Paskali wenye Njaa na ayohani Mbatizaji na kundi zima wamekuwa wa kuokoteza vijimaneno, au hawaonekani kabisa.

Hakika kuna jambo kubwa linategemewa kutokea hivi karibuni.

Huyu Jamaa aliyebugia shaba zaidi ya 16, ndio kwanza anaonekana kama kaongezewa damu mpya na nguvu zisizoelezeka zinatoka wapi!
Na yule mwenzake, zile 'pushup, safari hii zimegeuka na kuwa kutambaa kwa magoti, akiwalilia aliokuwa akiwafokea kama watoto wasimtupe mkono.

Lakini wapiga kura wasisahau, kiongozi anayekuwa juu ya sheria na katiba iliyomweka madarakani, wakifanya makosa baada ya kushuhudia yaliyofanyika, wakumbuke yatakayofuata wakifanya makosa tena safari hii, hawataishi kuyasahau.
Mungu tu ndiye afahamuye yote,Mh.Lissu ni miongoni kwa watu wachache waliowahi kama wapo kuepuka kifo kwa Risasi nyingi namna ile.Tukio like lilitakiwa kuwekwa kwenye Guinness World Records Book, lakini nadhani nilikuwa baya hakuna binadamu anayeweza kuweka kumbukumbu ya aina ile.Ninajiuliza wale watu wasiojulikana kwa watu wote lakini wao wanajijua na waliowatuma wanawafahamu huwa wanajisikiaje na wapo hapa duniani ili watubu?
Mh.Lissu nakuomba watangazie Amnesty endapo watajitokeza kwa hiari yao ili kitendawili hiki kipate jibu maana Nina uhakika watakuwa wagonjwa for the rest of their lives.
Madikteta wengi wamewashurutisha watu kutenda uhalifu hivyo ni vizuri kukawa na mwanya wa maridhiano/maungamo na kuomba msamaha au kufikishwa mahakamani haki itendeke kwa mujibu wa sheria.Hiyo itasaidia kuondoa desperation kwa wengi.
Hatari ni nyingi,tuelimishane ili tukamilishe uchaguzi na kupata viongozi tunaowataka na siyo watawala.
 
Ndugu Lissu, tupe majibu ya maswali haya kabla ya tarehe 28/10/2020.
====
Nawashukuru Jamiiforum.com kwa kutoa furusa hii ya kuuliza maswali. Nina imani mlengwa atayatendea haki maswali yetu kwa kuyajibu kwa ufasaha na kwa staha.

Maswali yangu ni haya kwa kuanzia.
1. Miaka kadhaa iliyopitia, Mtanzania mwenzetu ndugu Lissu, ukiwa bado mbunge ulinukuliwa ukiitakia mabaya Tanzania na watanzania wote hasa wale wenye uwezo mdogo kiuchumi. Ndugu Lissu ulinukuliwa ukisema kuwaunaitaka dunia/ ulimwengu iifungie/ iwekee vikwazo vya kiuchumi, kidiplomasia, kisiasa, kijamii na mengine kama hayo, yaani dunia itemee mate Tanzania. Kwa uhalisia vikwazo hivi vilipotumika kwenye nchi nyingine mfano Zimbabwe, Iran, hata Venezuela uathiri wananchi wenye vipato vya chini na kati, ambao kwa hapa Tanzania ndio walio walio wengi.

Je, Katika mazingira kama haya Watanzania hawa, sisi, tulio wengi tutapa sababu gani za kukuamini kuwa unaweza kuwa kiongozi wa nchi yetu na kujali maslahi ya nchi hii na watu wake wakati kwa vikwazo ulivyotuombea sisi vitupate vina lenga kukuimarisha wewe binafsi mbele ya wale ambao hawatutakii mema sisi watanzania na nchi yetu kwa ujumla wake!?

2. Siku kadhaa zilizopita ukiwa Mkoani Kilimanjaro, ulinukuliwa kupitia vyombo vya habari ikiwemo televisheni ya ITV ukisema kuwa utarudisha madaraka kwa wananchi kama ilivyokuwa wakati wa Ukoloni. Tulio wengi tunajua wakati wa ukoloni watanzani/wananchi walifanywa manamba na wengine kuuzwa nje kama watumwa.

Je, Kwa kauli hii sisi watanzania tutaachaje kuamini kuwa kipindi tu Ndugu Yetu Lissu utakapopata madaraka ya nchi hii utatuuza watanzania kwa mafungu kama bidhaa sawa na kipindi cha Ukoloni na hivyo ni halali tukunyime kura!?

3. Vyombo kadhaa vya kimataifa na baadhi vya humu nchini vimeandika habari kuwa unasimamiwa na mwansheria wa kimataifa ambaye si mtanzania. Pia wakati wamchakato wako wakupat nafasi ya kugombea inasemwa ulishawishi wajumbe wa mkutano kuvuruga wimbo wa Taifa kwa kuongeza maneno ambayo hayapo. Je, Kwa mambo yote mawili yaliyotajwa sisi watanzania tunakosaje haki ya kukunyima kura kwa kuonyesha unatudharau watanzania na pia unadharau mambo yanayotambulisha utanzania wetu!?

Karibu kwa majibu.

Source:Uchaguzi 2020 - EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii
====
Sijaona swali la kisera zaidi ya speculations. Sasa kweli tuuzwe kma manamba kweli? Kuna nchi inakubali human slavery karne hii?

Vikwazo hta Mandela na Nyerere waliomba sauzi na Rhodesia ziwekewe vikwazo ili kupressure serikali zilizokua madarakani je Nyerere hakujua waathirika watakua wale waafrika maskini?

Inaonekana uelewa wako ni mdogo wa kutofautisha nchi na serikali. Yaani Lissu akipambana na magufuli mnadai anapambana na wananchi!!! Hvi hamfundishwi masomo ya uraia huko mashuleni?
 
.
sasa mbona akimaliza shoo zake 75% ya wahudhuriaji wanaondoka ?
Mkuu pandisha picha za Mbulu.... Aisee ni kimbunga chenye kokoto.
EknxBYjWAAISk5b.jpg
 
Back
Top Bottom