Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makalasha yamekuchanganya sanaNina kadi ya Chadema toka mwaka 2007,mimi ni kamanda niliyekomaa
Nina kadi ya Chadema toka mwaka 2007,mimi ni kamanda niliyekomaa
Acha hasira kamanda.Acha kadi ya tokea 2007, hata kadi yako ingekuwa namba moja ya mwaka 1992 chama kilipokuwa kinaanza, hakuna mwanacdm duwanzi wa sampuli yako.
Wamasai wapandisha Mori baada ya kumuona Tundu Lissu huko Manyara
CCM KWISHAAA!!!HAHAHAAA!!!
Acha hasira kamanda.
Lissu kaiteka Nchi nzimaDuh duhh hatareee kwa kweli
Wamasai wapandisha Mori baada ya kumuona Tundu Lissu huko Manyara
CCM KWISHAAA!!!HAHAHAAA!!!
Naunga mkono hoja.... kwa amsha amsha alizoamsha na mapenzi yake kwa chama; Mh. Tundu Lissu automatically ame over-qualify kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa. Hana mpinzani kwenye hilo.
Kwakweli Ushindi ni mnono kwelikweli sasa chonde chonde Viongozi na wahusika wetu wa Chadema kazi ni kwenu katika kuulinda Ushindi huoWaungwana tuhakikishe wosia uko tayari.
Ile saa ya kuwa shahidi mwema inajongea kwani kuna watu yamedhamiria kukwiba na hawajali.
Bia yetu kabadili ID anajiita kamandaKaribu Chadema
Lissu ni funga kazi wanaCCM wameanza kujipendekeza ili kusaka teuzi😂😂Bia yetu kabadili ID anajiita kamanda
Jeshi la mtu mmoja,Lissu ni funga kazi wanaCCM wameanza kujipendekeza ili kusaka teuzi😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ulichomjibu hapa kinasadifu Jima lako mkuu umepiga tindoAcha kadi ya tokea 2007, hata kadi yako ingekuwa namba moja ya mwaka 1992 chama kilipokuwa kinaanza, hakuna mwanacdm duwanzi wa sampuli yako.
Haki za faragha kamuulize bashite na mekoMgombea wetu alisema atalinda haki za faragha za mashoga kama wewe. Amenikera sana.
Na watakua wanayaita mahi!Mwaka huu wataomba maji ya kunywa
Muda unawezwa kuongezwa wakati kuna dharura ambayo lazima mzooefu awavushe, hata Marekani: Roosevelt amekaa muda zaidi ya katiba,zaidi ya vipindi viwili. Hata uchaguzi unaweza kuahirishwa kutokana na dharula ya vita : Uingereza: Winston Churchill, Ufaransa: Charles De Gaulle.Mimi sio muhasibu wa cdm, hilo la kuliwa hela mnalijua huko ccm,ww unayejua Mbowe Kala hela ni jukumu lako kupiga kelele. Ninachoamini mimi ni kuwa kiongozi mzuri mwisho ni miaka 10 kwenye nafasi moja, akizidi hapo ni uhuni mtupu. Lisu anangaika kufanya kampeni! Kwani kampeni ni nini kama sio kuhangaika? Utapigania mabasha vibaya sana hapa jukwaani lakini hutapata.