Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Waungwana tuhakikishe wosia uko tayari.

Ile saa ya kuwa shahidi mwema inajongea kwani kuna watu yamedhamiria kukwiba na hawajali.
Kwakweli Ushindi ni mnono kwelikweli sasa chonde chonde Viongozi na wahusika wetu wa Chadema kazi ni kwenu katika kuulinda Ushindi huo

Kuna habari zinasema kuna Wachina wabobezi kwenye wizi wa kura wameshaletwa na wako Dar
 
Huyu Lissu sijui tumwite vipi.....mapafu ya mmbwa.....msimlaumu Mzee mnamwonea hii kasi hawezi kuimudu.
 
Acha kadi ya tokea 2007, hata kadi yako ingekuwa namba moja ya mwaka 1992 chama kilipokuwa kinaanza, hakuna mwanacdm duwanzi wa sampuli yako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ulichomjibu hapa kinasadifu Jima lako mkuu umepiga tindo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio muhasibu wa cdm, hilo la kuliwa hela mnalijua huko ccm,ww unayejua Mbowe Kala hela ni jukumu lako kupiga kelele. Ninachoamini mimi ni kuwa kiongozi mzuri mwisho ni miaka 10 kwenye nafasi moja, akizidi hapo ni uhuni mtupu. Lisu anangaika kufanya kampeni! Kwani kampeni ni nini kama sio kuhangaika? Utapigania mabasha vibaya sana hapa jukwaani lakini hutapata.
Muda unawezwa kuongezwa wakati kuna dharura ambayo lazima mzooefu awavushe, hata Marekani: Roosevelt amekaa muda zaidi ya katiba,zaidi ya vipindi viwili. Hata uchaguzi unaweza kuahirishwa kutokana na dharula ya vita : Uingereza: Winston Churchill, Ufaransa: Charles De Gaulle.

Lakini miaka kumi inatosha, inatoa nafasi ya nguvu mpya na akili mpya.
TUMEKWENDA SAWA LEO.
 
Back
Top Bottom