Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha .

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "

View attachment 1603756

=======
Mungu akupe maisha marefu
 
Sasa imefika patamu.

Katibu Mkuu CCM na yule zezeta Popole ukiwasikiliza wanayonena sasa hivi utajua mkanganyiko tayari umeingia ndani ya chama hicho.

Hata zile 'Fiesta' sasa zimekosa maana; haziongezi chochote kwenye kampeni za mgombea wa chama hicho.

Hapa jamvini, hali haina tofauti. Akina Paskali wenye Njaa na ayohani Mbatizaji na kundi zima wamekuwa wa kuokoteza vijimaneno, au hawaonekani kabisa.

Hakika kuna jambo kubwa linategemewa kutokea hivi karibuni.

Huyu Jamaa aliyebugia shaba zaidi ya 16, ndio kwanza anaonekana kama kaongezewa damu mpya na nguvu zisizoelezeka zinatoka wapi!
Na yule mwenzake, zile 'pushup, safari hii zimegeuka na kuwa kutambaa kwa magoti, akiwalilia aliokuwa akiwafokea kama watoto wasimtupe mkono.

Lakini wapiga kura wasisahau, kiongozi anayekuwa juu ya sheria na katiba iliyomweka madarakani, wakifanya makosa baada ya kushuhudia yaliyofanyika, wakumbuke yatakayofuata wakifanya makosa tena safari hii, hawataishi kuyasahau.
"Reactions" za wana CCM humu janvini zimekuwa za matusi makali - "personal insults". Kuna matatizo kambini.
 
Ccm wameishiwa pumzi mgombea wao hauziki asafishiki. Tuliwaonya katiba yao inahitaji reformed ili mwenyekiti asiwe ndo mmiliki wa chama yasingewakuta haya, wangeweka mtu sahihi na makini wa kupambana na Lisu.
Majukwaani wamesambaratishwa vibaya pamoja na kutegemea polisi, wasanii, viongozi wa dini, tume lkn ngoma mbichi.
Ukisomesha watu namba wao watakusomesha kura zao.
Kama ccm imekatiliwa vijijini wapi tena itauzika, kusini ndo awataki hata kuisikia thus wameogopa kupeleka fiesta kusini.
 
Nimejikuta nacheka sana [emoji38][emoji38][emoji38]
Bia yao au dada kawe alumini hana cha kuongea siku hizi utasikia unachuka unaweka waa

Yohane mbatizaji maneno yameisha utasikia maendeleo hayana vyama

Changudoa wa malunde crimea yehoyuda hawana chochote zaidi ya porojo tu.

Daaah hizi buku 7 maskini wisho mwezi huu
 
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha .

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "

View attachment 1603756

=======
Tupe habari tupe kaka
 
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba nafasi hiyo kubwa kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha .

Kama kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachochijiri kutoka kote inakofanyika mikutano hii .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" TANZANIA MPYA OYEEE , RAIS MPYA OYEEE "

View attachment 1603756

=======

Babati
View attachment 1603942
Anafanya utalii wa ndani tu,kushinda ni ngumu. Kamamda tukiteneneze upya chama chetu. Tumfurushe Mbowe.
 
Kuanzia Nangwa Dareda Kati Dareda mission Bashineti Madunga njia panda, Dongobesh, Vitunguu swaum, Maskaroda, watu wamejipanga barabarani Ni Nyomi hataree Imboru na Karatu watu wamekesha...akoo na Balisee ideroooo

Nasi roaleee
Naasi!
 
Back
Top Bottom