Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Mbowe ni mwenyekiti kimakosa,bwege wewe,alitafuna michango na ruzuku mbona hukusema? Leo Lissu anahangaika kufanya kampeni.

Mimi sio muhasibu wa cdm, hilo la kuliwa hela mnalijua huko ccm,ww unayejua Mbowe Kala hela ni jukumu lako kupiga kelele. Ninachoamini mimi ni kuwa kiongozi mzuri mwisho ni miaka 10 kwenye nafasi moja, akizidi hapo ni uhuni mtupu. Lisu anangaika kufanya kampeni! Kwani kampeni ni nini kama sio kuhangaika? Utapigania mabasha vibaya sana hapa jukwaani lakini hutapata.
 
Mimi ni kamanda ninaesema ukweli,Lissu anafanya utalii wa ndani hawezi kupata hata kura laki mbili.

Makamanda wenzangu wengi mnasagana na kupenda ushoga,acheni hii tabia.
Tukiripoti huu ujinga unaoufanya utatandikwa Ban , ukiambiwa uthibitishe huo ushoga huna uwezo wa kufanya hivyo , jaribu kuheshimu jukwaa hata kama umelipwa
 
Tukiripoti huu ujinga unaoufanya utatandikwa Ban , ukiambiwa uthibitishe huo ushoga huna uwezo wa kufanya hivyo , jaribu kuheshimu jukwaa hata kama umelipwa
Ahaaaa,nani ananilipa? Mbowe? Mimi nasema kweli,kwa hiyo unategemea ban ili upumue? Jibu hoja.

Kwa nini mgombea wetu anasema atalinda haki ya faragha ya mashoga?
 
Wazanzibari Wamshangaa Mtalii wa tume kutoka Pwani wanasema Bwana Huseni Mwinyi anajisumbua tu na kujidhalilisha bure
 
Mimi sio muhasibu wa cdm, hilo la kuliwa hela mnalijua huko ccm,ww unayejua Mbowe Kala hela ni jukumu lako kupiga kelele. Ninachoamini mimi ni kuwa kiongozi mzuri mwisho ni miaka 10 kwenye nafasi moja, akizidi hapo ni uhuni mtupu. Lisu anangaika kufanya kampeni! Kwani kampeni ni nini kama sio kuhangaika? Utapigania mabasha vibaya sana hapa jukwaani lakini hutapata.
Mtu kama wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Kwanza kuwa unaniquote mimi unapoteza muda. Uwe unawaquote mashoga wenzako.
 
Bia yao au dada kawe alumini hana cha kuongea siku hizi utasikia unachuka unaweka waa

Yohane mbatizaji maneno yameisha utasikia maendeleo hayana vyama

Changudoa wa malunde crimea yehoyuda hawana chochote zaidi ya porojo tu.

Daaah hizi buku 7 maskini wisho mwezi huu
Bia yetu kabadili ID kwa aibu anajiita kamanda asiyechoka
 
Bia yao au dada kawe alumini hana cha kuongea siku hizi utasikia unachuka unaweka waa

Yohane mbatizaji maneno yameisha utasikia maendeleo hayana vyama

Changudoa wa malunde crimea yehoyuda hawana chochote zaidi ya porojo tu.

Daaah hizi buku 7 maskini wisho mwezi huu
Muda wote, kipara kipya na stroke hawaonekani siku hizi kabisa.

Wapi akina wakudadavua? TrolJF, TumainEl, Britanicca
 
Mtu kama wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Kwanza kuwa unaniquote mimi unapoteza muda. Uwe unawaquote mashoga wenzako.

Nakupa kubwa yako ili usituletee upuuzi wako kwa kujifanya mwanacdm. Na unaipata fresh.
 
Back
Top Bottom