Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Nimejikuta nacheka sana 😆😆😆
Mkuu Babati Mjini hiyoooo pandisha hapo juu... chopa sasa rasmi ...

1603029082306.jpeg
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu chadema watadai wameibiwa kura.
Hiki kibwagizo ni zilipendwa mwambieni Polepole aumize kichwa atunge kingine!
 
Huu ni ushubwada wa kiwango cha lami kabisa, Duuh asilimia 70 anaipataje yani kwa mfano huyo Aunt Li, hebu tuambie hapa.
Maana jumla ya wapiga kura walioandikishwa na NEC ni 29,188,347
Wanachama hai wa CCM tu pekee ni 17,000,000 bado hatujaijumuisha nguvu kazi iliyotokana na kampeni hapo, sasa hebu tuambie hapa hiyo 70% Aunt Li, anaitolea wapi?
 
Huu ni ushubwada wa kiwango cha lami kabisa, Duuh asilimia 70 anaipataje yani kwa mfano huyo Aunt Li, hebu tuambie hapa.
Maana jumla ya wapiga kura walioandikishwa na NEC ni 29,188,347
Wanachama hai wa CCM tu pekee ni 17,000,000 bado hatujaijumuisha nguvu kazi iliyotokana na kampeni hapo, sasa hebu tuambie hapa hiyo 70% Aunt Li, anaitolea wapi?
acha kujidanganya hao ni wanachama hewa wa nec na kati ya hao wengi watampigia kura Lisu
 
Nilichogundua wanachama waCCM mna uelewa mdogo sana. Assume CCM imefungiwa siasa miaka 5 wabunge 30% wamekimbia, madiwani, Katibu mkuu n.k wote watimkie upinzani.

Bunge kma mlikua mnategemea wananchi waone michango yenu limefungiwa alafu baada ya miaka 5 utokee uchaguzi dhidi ya Rais ambaye anaonekana ana nguvu sana kimamlaka then upate nyomi ya Lissu hutaona ni muujiza?

Haya mgombea wenu pia awe hayupo nchini miaka karibu minne akiuguza majeraha then arudi nchini then hapo hapo anaanza kampeni alfu kampeni zikianza upepo unakua mzito upande wake!!!

Jifunzeni hiyo tofauti kwanza ndio utaelewa kwamba Lissu kupata uungwaji mkono kwenye mikutano yake ni special kuliko hata Dr Slaa na Lowassa sababu mazingira yalikuwa tofauti leading up to election
 
Huu ni ushubwada wa kiwango cha lami kabisa, Duuh asilimia 70 anaipataje yani kwa mfano huyo Aunt Li, hebu tuambie hapa.
Maana jumla ya wapiga kura walioandikishwa na NEC ni 29,188,347
Wanachama hai wa CCM tu pekee ni 17,000,000 bado hatujaijumuisha nguvu kazi iliyotokana na kampeni hapo, sasa hebu tuambie hapa hiyo 70% Aunt Li, anaitolea wapi?
Wanachama ndo wa kuwa makini nao maana ni wanachama aina ya team Membe team Lowasa na ukweli ni kuwa hii kujidai kwa Tl ni kwasababu wanachama hawafanyi kazi yao. Hakuna chama chenye watu wanaojua figisu za siasa kama chama tawala.... Hii nguvu aliyonayo Tl ni wanachama wa ccm wamempa. Ndo maana leo anafungia kampeni Dar-es-salaam. Katika maeneo yooote, Tl anaachwa akafungie kampeni Dar.
 
Nilichogundua wanachama waCCM mna uelewa mdogo sana. Assume CCM imefungiwa siasa miaka 5 wabunge 30% wamekimbia, madiwani, Katibu mkuu n.k wote watimkie upinzani.
Bunge kma mlikua mnategemea wananchi waone michango yenu limefungiwa alafu baada ya miaka 5 utokee uchaguzi dhidi ya Rais ambaye anaonekana ana nguvu sana kimamlaka then upate nyomi ya Lissu hutaona ni muujiza?
Haya mgombea wenu pia awe hayupo nchini miaka karibu minne akiuguza majeraha then arudi nchini then hapo hapo anaanza kampeni alfu kampeni zikianza upepo unakua mzito upande wake!!!

Jifunzeni hiyo tofauti kwanza ndio utaelewa kwamba Lissu kupata uungwaji mkono kwenye mikutano yake ni special kuliko hata Dr Slaa na Lowassa sababu mazingira yalikuwa tofauti leading up to election
Sera yake ipi huyo Auny Li? Kwa maana ushawishi wa mtu mwenye weledi kukupigia kura ni sera zako kwanza.
 
Back
Top Bottom