Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Ukifuatilia vizuri utagundua miradi yote ya Chatto ni kwa ajili ya sababu zake binafsi hazilengi Wanachato ambao ni makapuku wa kutupwa.
 
Leo kakera tena akiwa Mufindi.
Anasema
Rais anayeanza kwa kujenga jenga nyumbani kwake basi huyo anajiandaa kuwa Rais wa maisha...

Historia Mwalimu mzuri, hivyo Tundu Lissu anatukumbusha uwezekano huo wa umimi wa mgombea wa CCM Mpya yaweza kuwa hivyo ikiwa hatutawadhitibi marais waTanzania.
 
Sikushangai!

Mashabiki wote wa Lisu hawajui beberu ni nani ndio maana mgombea wenu kaenda ubelgiji kavamia beberu wake ndio anamtetea kila siku ili apate urais
Najua uko kibaruani unatetea hata usichokiamini na inaonekana shule ulimaliza mapana sana
 
1600094353652.png
 
Kura zikihesabiwa kwa haki na sheria ccm hawezi shinda bali analindwa na katiba ya nchi ambayo hairuhusu mtu nje ya ccm kuingia ikulu hata kama magu atapata kura moja tu inatosha kutangaza hata mpinzani apate kura mil 70 bado atakuwa ameshindwa mpaka katiba yetu ibadilishwe upinzani utaingia ikulu

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Kifungu gani hicho cha Katiba yetu pendwa?Tukitaka kuibadilisha tunawatumia Watanzania au Malaika?Ule mchakato wa Katiba Mpya ulikwama kwa sababu zipi?
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!

Sema umeamua wewe na Mafisi wenzako wa Lumumba. Mambo ya Mabeberu ya Mbuzi au Kondoo ni Propaganda tu. Tanzania bado ni tegemezi kiuchumi katika mambo mengi tu kwenye mambo ya Kifedha, Kibiashara, Kiteknolojia, Kijeshi na Kielimu. Wewe Endelea kuwadanganya Mafisi wenzako na Mabeberu ya supu ya mbuzi...🤣😉
 
Back
Top Bottom