Taarifasahihi
Senior Member
- May 24, 2019
- 170
- 157
Yaani wewe nashauri urudi kwanza darasani ukajifunze Kuandika kiswahili: Sina uhakika kama Umeona ulichokiandika?!!! Kibalaka, mabebelu, awezi, lais, ata, labda ulikuwa Unaandika kilugha chenu, hakuna kiswahili hapo!!?Lissu ni kibalaka wa mabebelu. Awezi kuwa lais ata iweje.