Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Jiwe anahaha balaa mara Museveni , sasa sijui atamleta na roll model wake wa kihutu .
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Wenye akili timamu wanajua TL ni tishio ndiyo maana wanahangaika kumjibu hata yasiyojibika! Unafikiri wanapenda kuweka picha zao barabarani kwenye miti!!
 
Mshamba kutoka Chattle ndege zinamtokea puani. Ndege za mabilioni zipo grounded hazifanyi biashara yoyote ...

Mabilioni hayo yangeweza kununua madawa na madawati ila mshamba wa ndege anafikiri ni utajiri kuwa na ndege kwasababu zinanunuliwa ka bei kubwa...HOVYO KABISA.

Kuwa na rais asiejua lolote ni mzigo kwa taifa. Msukuma huyu laja kujitoa ushamba wa ndege kwenye kiti cha urais...hajui kama anatia taifa hasara
 
Wakuu kumekucha tena, na kwa kweli muda ni mfupi mno, tuendelee kuvumiliana kwa kero zetu za kampeni...
UPDATES
Hapa ni jimbo la Makambako Mkoa wa Njombe
View attachment 1569763
Kwa hakika huu ni mpango kamilifu kabisa wa Mungu aliye hai na wala si wa mwanadamu. Lissu ni mfano wapakwa mafuta wa BWANA, ambaye ni Daudi, huku huyu Mzee Baba akiwa ndiye mwenyewe mfalme muovu Sauli.
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Bashite hujawshi kuwa na akili sisi watanzania ambao sio warundi kama Magufuli tunamchagua Lissu Magufuli arudi kwao burundi
 
Wananchi wana bashasha kumuona raisi wao Tundu Antipas Mughwai Lissu
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Sema umeamua usitushilikishe
Mimi nipo na Lissu hata akibaki pekee lazima nimpe kura yangu
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa Rais!

Watanzania tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Inaweza ukawa unasema watanzania unanihesabia na Mimi Kama nimemkataa TL badilisha kauli sema wewe sio wote usemee moyo wako tu
 
Lissu unayalaza macho MATAGA. Hayaamini wanachokiona, yamepagawa.
#NIYEYE #LISSURAIS2020 ✌🏽✌🏽✌🏽
 
TUNDU LISSU USIJISAHAU KWENYE SUALA LA USALAMA WAKO. KUSHIKA MIKONO YA WATU JIZUIE MNO. NAJUA UNATAMANI UNGEKUWA HURU KIASI HICHO, ILA HUWEZI KWA SASA KUWA HURU HIVYO. USISHIKANE MIKONO NA WATU, BADO HAKUJATULIA. MAJI, MIC HIZO, ZIHAKIKISHWE KUWA NI SALAMA KABLA HUJATUMIA.
 
Hatutaki vita lissu yeye atulie tu watu tumeishi kwaamanali why tuipoteze amani yetu anajisumbua tu
 
Back
Top Bottom