Kiongozi nipo tayari maeneo ya viwanja hapa, upo Kona gani mwenzanguMtanikuta hapa makambako!
CCM oyeeeee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi nipo tayari maeneo ya viwanja hapa, upo Kona gani mwenzanguMtanikuta hapa makambako!
CCM oyeeeee!
Niko huku kwa Jah people bwashee!Kiongozi nipo tayari maeneo ya viwanja hapa, upo Kona gani mwenzangu
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!
Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Umeamua na nani. Naona umeamua peke yakoLisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!
Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Poapoa nipo namsubiri Raisi hapa.Niko huku kwa Jah people bwashee!
Lissu ni kibalaka wa mabebelu. Awezi kuwa lais ata iweje.
Inabidi kugangamala mkuu.Sisi CCM tunampinga mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi, kwanini hajamkata TL. Ametuletea mtihani mkubwa.
CCM Ni Kama vile darasa la 'HKL' mmeletewa mitihani wa 'Advance mathematics' (TL )kipindi Cha Annual Examination!Sisi CCM tunampinga mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi, kwanini hajamkata TL. Ametuletea mtihani mkubwa.
Duh Hadi vidole vimekulegea sababu ya shifti ndefu hapo Lumumba.Lissu ni kibalaka wa mabebelu. Awezi kuwa lais ata iweje.
Kiongozi wa bongomungiki.
Hiyo picha kama ya majamaa yaliyokuwa yanajulikana kama madracula manyonya dam sasa anajifanya kuvutia ili aite watu awamalize. Nasema jihadhari na huyu hata picha zake zina madhara makubwa sana
Facial expression ya Tundu Lissu inasema mengi juu ya ushindi wake ujaoWakuu kumekucha tena , na kwa kweli muda ni mfupi mno , tuendelee kuvumiliana kwa kero zetu za kampeni , Leo tena kipenzi cha Watanzania Rais mtarajiwa Mh Tundu Lissu anawasili Mkoani Njombe kwa lengo la kueneza sera nzuri mno za CHADEMA
=======
Kiongozi nipo tayari maeneo ya viwanja hapa, upo Kona gani mwenzangu
Lisu na wewe nani anajisumbua ona mishipa ya shingo ilivyokutoka kura ni siri yetu sisi wananchi tunawacheki tu mnavyotudhau kwa kutuletea wakata viuno tueombe uzimaLisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!
Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!
Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
umeishia darasa la ngapi wewe kapuku ?Lissu ni kibalaka wa mabebelu. Awezi kuwa lais ata iweje.