Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Simiyu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika



========

Your browser is not able to display this video.


Aingia Bariadi kwa kishindo

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • Subpost 2 - Muda huu mapokezi ya Mhe. Tundu Lissu jimbo la Bariadi. Wapiganaji ( 352 X 640 ).mp4
    7.9 MB
Hapa ni Lamadi : umati ulipogundua amelala hapa ukaliteka eneo hadi atoe neno

View attachment 1600862
Ila jamani watanzania wanataka mabadiliko tuache utani, sema ccm kuiachia upinzani nchi ndo shida yao, kwanza wanalinda mali zao za chama walizozipoka toka serikalini, pili wanalinda maslahi yao. SHIDA NDO HUANZIA HAPO.
 
Ila jamani watanzania wanataka mabadiliko tuache utani, sema ccm kuiachia upinzani nchi ndo shida yao, kwanza wanalinda mali zao za chama walizozipoka toka serikalini, pili wanalinda maslahi yao. SHIDA NDO HUANZIA HAPO.
Laurent Gbagbo alibana mwisho akaachia mwenyewe, fuatilia taarifa za madikteta wa kiafrika walivyong'oka Mkuu.
 
Lissu hatoshindwa , ondoa shaka
Lissu hatoshindwa , ondoa shaka
Mkuu CCM siku inaanguka hadi wanyama pori na wadudu watambaao watajua kuna jambo limetokea nchini kwao. Kila kiumbe hai nchini kitatikiswa.

Anafanya vizuri ila sioni wala mazingira ya Kushinda kihalali hats kwa hila naona atashindwa. Ila anaweza kuwa stepping stone ya kuimalizia KAZI yake 2025 akiwa makini miaka hii 5 asitolewe masikioni mwa wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…