The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
May be in your dream!Hajatoswa, ndiye Spika ajaye!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May be in your dream!Hajatoswa, ndiye Spika ajaye!
Nyoe watu tafadharini. Mtamuua mtu kwa pressure.....!!
Sio kweli. Kila jambo lina wakati wake. Slaa alikuwa na wafuasi lakini sio hawa wa Dodoma, singida, Geita na Katavi.Awa woye akina dr slaa waliishinda ccm ila iliwachakachua
Bwana wa Mabwana Natenda Miujiza.Safi sana na kila la kheri kwa Mh Tundu Lissu katika Safari hii inayo wahusu Watanzania wapenda Uhuru Haki na Maendeleo ya Watu ,Mungu awabariki sana Ndugu zangu.
Mwaka huu utatafuta hadi picha za 1840Hujui umati weweView attachment 1600864
Chadema sasa hii sifa sasaHapa ni Lamadi : umati ulipogundua amelala hapa ukaliteka eneo hadi atoe neno
View attachment 1600862
Tumewashika vibaya sanaWalisema ooh chadema mko nyuma Kwenye TEHAMA aisee nimewavylia kofia. Mmewashinda magazeti, matv na maredio.....mko.mbele mile 1000.
Kila mahali wananchi wana taarifa za Mgombea urais wabunge na madiwani.
Tuwekee na ile footage ya Dutwa mkuuWakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1601005
Speaker bila Ubunge wa kuchaguliwa jimboni!!!!!!???Hajatoswa, ndiye Spika ajaye!
kwakweli ni ajabu sanaNa hapo wala hakuna Fiesta!
Hayo mapokezi yanatisha sanaWakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1601005
On top of that umaarufu wa Lissu unaongezeka Kila Siku wakati wa Yohana unapungua.Sio kweli. Kila jambo lina wakati wake. Slaa alikuwa na wafuasi lakini sio hawa wa Dodoma, singida, Geita na Katavi.
This time Lissu anakumba woote kanda zoote.
Tena nyakati hizi mbaya ambapo Yohana alitakiwa yeye kuwa gumzoOn top of that umaarufu wa Lissu unaongezeka Kila Siku wakati wa Yohana unapungua.
Kwetu kanda ya ziwa ishara ya vigelegele kwa kina mama ni heshima kubwa mno mno kwa Lissu.Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1601005
Hujui umati weweView attachment 1600864
Huyu mbabe hatari. Hata akishindwa Ccm watakuwa mapafu yote chali.
Watanzania sasa tujiandae kwa mabadiliko !! Lissu ni Rais.Ni yeye Rais Lisu
Ninacho amini ni kuwa kama Lissu angekuwa anagombea na mtuu kutoka kanda nyingine sio hii, 29/10 asubuhi saa nne Chamwino.Kwa kura nakataaa yaani kwa hizi kampeni za ccm za hila na njama na kuzoa wanafunzi watu wa kutoka mbali kujaza vichwa na wengine kupewa wekundu wa msimbazi na wasanii juuu,vyombo vya habari vyooote ili kuuza kisichouzika huyu hana hata bango nchi nzima hana kituo chochote kinachorusha live hana wasanii halafu unasemaje wewe yaani safari hii ukisikia maji ya utosi yamewafika mataga kifo cha mende
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app