Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Simiyu

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Simiyu

Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000

View attachment 1601005
Tuwekee na ile footage ya Dutwa mkuu
 
Subirini kugaragazwa October 28th maana JPM atashinda kwa kishindo.

October 28th kura zote kwa JPM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000

View attachment 1601005
Hayo mapokezi yanatisha sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli. Kila jambo lina wakati wake. Slaa alikuwa na wafuasi lakini sio hawa wa Dodoma, singida, Geita na Katavi.

This time Lissu anakumba woote kanda zoote.
On top of that umaarufu wa Lissu unaongezeka Kila Siku wakati wa Yohana unapungua.
 
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000

View attachment 1601005
Kwetu kanda ya ziwa ishara ya vigelegele kwa kina mama ni heshima kubwa mno mno kwa Lissu.
 
Acha arguments za kijinga. Unaijua Lamadi wewe? Ni mji mdogo ambao hauna watu wengi kiasi hicho unacholinganisha. Ama unataka wasombwe kwenye malori toka miji mingine kama yule mshamba anavyofanya? Ama unataka shule zifungwe ili wanafunzi wahudhurie pia? Au wafanyakazi watishwe kufukuzwa kazi kama wasipohudhuria? Watu wengine washamba sana (Nape na Kinana walisema).
 
Kwa kura nakataaa yaani kwa hizi kampeni za ccm za hila na njama na kuzoa wanafunzi watu wa kutoka mbali kujaza vichwa na wengine kupewa wekundu wa msimbazi na wasanii juuu,vyombo vya habari vyooote ili kuuza kisichouzika huyu hana hata bango nchi nzima hana kituo chochote kinachorusha live hana wasanii halafu unasemaje wewe yaani safari hii ukisikia maji ya utosi yamewafika mataga kifo cha mende

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Ninacho amini ni kuwa kama Lissu angekuwa anagombea na mtuu kutoka kanda nyingine sio hii, 29/10 asubuhi saa nne Chamwino.
 
Back
Top Bottom