johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Najua mtemi Andrew Chenge hatatuangusha wana lumumba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila jamani watanzania wanataka mabadiliko tuache utani, sema ccm kuiachia upinzani nchi ndo shida yao, kwanza wanalinda mali zao za chama walizozipoka toka serikalini, pili wanalinda maslahi yao. SHIDA NDO HUANZIA HAPO.
Kwa kura nakataaa yaani kwa hizi kampeni za ccm za hila na njama na kuzoa wanafunzi watu wa kutoka mbali kujaza vichwa na wengine kupewa wekundu wa msimbazi na wasanii juuu,vyombo vya habari vyooote ili kuuza kisichouzika huyu hana hata bango nchi nzima hana kituo chochote kinachorusha live hana wasanii halafu unasemaje wewe yaani safari hii ukisikia maji ya utosi yamewafika mataga kifo cha mendeHuyu mbabe hatari. Hata akishindwa Ccm watakuwa mapafu yote chali.
Tukiingia madarakani tunaanza na Chenge hiyo 6/11/2020 ataeleza ni kwanini aliiba na alishirikiana na akina naniNajua mtemi Andrew Chenge hatatuangusha wana lumumba!
Kuna voting na vetting. Nasikia rais huwa rais kwa vetting sio makaratasi.Kwa kura nakataaa yaani kwa hizi kampeni za ccm za hila na njama na kuzoa wanafunzi watu wa kutoka mbali kujaza vichwa na wengine kupewa wekundu wa msimbazi na wasanii juuu,vyombo vya habari vyooote ili kuuza kisichouzika huyu hana hata bango nchi nzima hana kituo chochote kinachorusha live hana wasanii halafu unasemaje wewe yaani safari hii ukisikia maji ya utosi yamewafika mataga kifo cha mende
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hichoKuna voting na vetting. Nasikia rais huwa rais kwa vetting sio makaratasi.
Ila hili sins uhakika nao
unataka kusemaje sasaHujui umati weweView attachment 1600864
Slaa aliibiwa uchaguzi na Kikwete ...... hilo liko wazi!!Hujui umati weweView attachment 1600864
Hii ni Lamadi? Umekurupuka mwamba! Hapo ni kijijini?Hujui umati weweView attachment 1600864
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unapanic nini sasa? Hiyo ni 2010 tukikuonesha za Lowasa 2015 unaweza kuzimia kabisa!Acha ushamba mtu amelala kaamka kakutana hiyo nyomi hapo bado kwenye mkutano wenyewe punguzeni wivu kama nyegere akikutana na jani anaona wivu upuuzi mtupu
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Nataka kusema Lisu wenu haingii hata mara 10 kwenye mafuriko ya Slaa achilia mbali haya ha juzi juzi ya Lowasa.Unataka ku
unataka kusemaje sasa
Kwa hiyo mmeenda kumwangukia baada ya kumtosa ..............!!Najua mtemi Andrew Chenge hatatuangusha wana lumumba!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hapo ni wapi sasa? Nyie bado wachanga mkiona hivyo vikundi anavyokusanya Lisu mnapagawa!Hii ni Lamadi? Umekurupuka mwamba! Hapo ni kijijini?
Hajatoswa, ndiye Spika ajaye!Kwa hiyo mmeenda kumwangukia baada ya kumtosa ..............!!
Huo umati wa Slaa mkoa mzima wamekusanyika hapo..huyo babu aliweza kutembea kama Lissu kila kijijiHujui umati weweView attachment 1600864
Usitucheleweshe na hizo 'ila' zako.Anafanya vizuri ila sioni wala mazingira ya Kushinda kihalali hats kwa hila naona atashindwa. Ila anaweza kuwa stepping stone ya kuimalizia KAZI yake 2025 akiwa makini miaka hii 5 asitolewe masikioni mwa wananchi