zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Enzi za Slaa mikutano iliruhusiwa, bunge lilikuwa live, wapinzani walikua hawatekwi kama sasa, media zilikua wazi, Rais hakuwa popular kabisa n.kHujui umati weweView attachment 1600864
Mwambie aende bila boss wake Diamond (maana kuna mtu kaniambia jpm ndio manager wa Diamond siku hizi) kama hataishia kupiga kelele namna hii kama aliye pagawa majini.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unapanic nini sasa? Hiyo ni 2010 tukikuonesha za Lowasa 2015 unaweza kuzimia kabisa!
Mimi sijui kama hata mnaelewa maana ya siasa, yani mtu kujaza hako kakikundi ka watu ndio uanona tayari kashashinda? Akienda JPM hapo una habari kwamba atapata watu wengi zaidi ya hao?
Lisu hapati hata 20%
😆😆😆Mwambie aende bila boss wake Diamond (maana kuna mtu kaniambia jpm ndio manager wa Diamond siku hizi) kama hataishia kupiga kelele namna hii kama aliye pagawa majini.
View attachment 1601363
Kwa nini mnapenda kutumia mafuriko ya Lowasa? Acheni ujinga bwanaWakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
View attachment 1601005
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
Acha kucheka mkuu Erythrocyte mzee anahitaji tiba, Lissu ameleta matatizo makubwa sana.[emoji38][emoji38][emoji38]
Aiseee !!Kwa nini mnapenda kutumia mafuriko ya Lowasa? Acheni ujinga bwana
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
View attachment 1601005
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
Hapa nahisi huyu musee hakuwa peke yake.Mwambie aende bila boss wake Diamond (maana kuna mtu kaniambia jpm ndio manager wa Diamond siku hizi) kama hataishia kupiga kelele namna hii kama aliye pagawa majini.
View attachment 1601363
Mwambie aende bila boss wake Diamond (maana kuna mtu kaniambia jpm ndio manager wa Diamond siku hizi) kama hataishia kupiga kelele namna hii kama aliye pagawa majini.
View attachment 1601363
Tumekuwekea hadi video ujionee mwenyewe , Je Tatizo ni bando ?Taarifa za uhakika au majungu? Propaganda zenu, zina mwisho na hivi sasa zimekaribia ukingoni.
Bando unatumia wewe uliyewekwa kimada na JF.Tumekuwekea hadi video ujionee mwenyewe , Je Tatizo ni bando ?
utakimbia mwenyewe , endelea kubwabwajaBando unatumia wewe uliyewekwa kimada na JF.
Sijawahi kuona muhaya mshamba Kama wewe!! ndugu zako wanalia bei ya kahawa imeshuka,, wewe unaleta utolopo wako hapa!! Wahaya wenzio wanalia kwa matusi waliyotukanwa!! mara mto ngono, mara tetemeko, na pesa za maafa zimeliwa! We unaleta pumba zako hapa!! wenzio wanalia yani weeee!! jinga kweli!!Kwakuwa unaishi kuzimu basi haina shida..ila kaa ukijua October 28th tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Acha kucheka mkuu Erythrocyte mzee anahitaji tiba, Lissu ameleta matatizo makubwa sana.
Kweli Lissu kiboko!
Leo kulikuwa hakuna movie ya kuzuiwa magari yenu kwenda SimiyuWakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .
Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika
View attachment 1600796
========
View attachment 1601005
Aingia Bariadi kwa kishindo
View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
Nikimbie ili iwe nini? Maneno ya kukariri hayo. Tanzania haitakubali makuwadi wa kigeni kututawala na huyo kuwadi wa Amsterdam na vinyago wenzake.utakimbia mwenyewe , endelea kubwabwaja
Meatu saa ngapi anaingia!
Kwa pamoja wewe na familia yako mtoke kifua mbele tukampigie kura JPM kwa maendeleo ya Tanzania huyo mwingine tarehe 29 October atakuwa Brussels.Sijawahi kuona muhaya mshamba Kama wewe!! ndugu zako wanalia bei ya kahawa imeshuka,, wewe unaleta utolopo wako hapa!! Wahaya wenzio wanalia kwa matusi waliyotukanwa!! mara mto ngono, mara tetemeko, na pesa za maafa zimeliwa! We unaleta pumba zako hapa!! wenzio wanalia yani weeee!! jinga kweli!!