Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Simiyu

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Simiyu

Enzi za Slaa mikutano iliruhusiwa, bunge lilikuwa live, wapinzani walikua hawatekwi kama sasa, media zilikua wazi, Rais hakuwa popular kabisa n.k

Sasa Lissu kaja kipindi ambapo Rais yuko popular yaani tv zote ni yye tu, viongozi wamekimbilia CCM, hakuna media coverage, no mikutano, vitisho na kutekana n.k kupata nyomi kma hilo unafikiri ni rahisi?

Sasa imagine ingekua ndio siasa zipo huru kma enzi za Dk Slaa? Si jamaa angekuwa ametangazwa mshindi hata kabla ya kampeni kuanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unapanic nini sasa? Hiyo ni 2010 tukikuonesha za Lowasa 2015 unaweza kuzimia kabisa!

Mimi sijui kama hata mnaelewa maana ya siasa, yani mtu kujaza hako kakikundi ka watu ndio uanona tayari kashashinda? Akienda JPM hapo una habari kwamba atapata watu wengi zaidi ya hao?

Lisu hapati hata 20%
Mwambie aende bila boss wake Diamond (maana kuna mtu kaniambia jpm ndio manager wa Diamond siku hizi) kama hataishia kupiga kelele namna hii kama aliye pagawa majini.

 
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

View attachment 1601005

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
Kwa nini mnapenda kutumia mafuriko ya Lowasa? Acheni ujinga bwana
 
Taarifa za uhakika au majungu? Propaganda zenu, zina mwisho na hivi sasa zimekaribia ukingoni.


Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

View attachment 1601005

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
 
Taarifa za uhakika au majungu? Propaganda zenu, zina mwisho na hivi sasa zimekaribia ukingoni.
Tumekuwekea hadi video ujionee mwenyewe , Je Tatizo ni bando ?
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
Kwakuwa unaishi kuzimu basi haina shida..ila kaa ukijua October 28th tutamchagua JPM kwa kishindo.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Sijawahi kuona muhaya mshamba Kama wewe!! ndugu zako wanalia bei ya kahawa imeshuka,, wewe unaleta utolopo wako hapa!! Wahaya wenzio wanalia kwa matusi waliyotukanwa!! mara mto ngono, mara tetemeko, na pesa za maafa zimeliwa! We unaleta pumba zako hapa!! wenzio wanalia yani weeee!! jinga kweli!!
 
Acha kucheka mkuu Erythrocyte mzee anahitaji tiba, Lissu ameleta matatizo makubwa sana.
Kweli Lissu kiboko!

Aslimia 90% TUNDU ANDIPAS LISSU AMESHINDA KWA KISHINDO MAJUKWAANI (CHADEMA)

7% inakwenda kwa CUF lipumba
Kwasababu hao wote hawatumii wasanii na wala hawana mabango

3% CCM MAANA KILA KITU WAMEPOKONYA KAMA IGUATAVYO
DRONS
MABANGO
HELCOPTER
RADIO
MAGAZETI
TV
WASANII
POLICE
NEC
NA BADO WANANCHI HAWAWATAKI.


Sasa niombe team ya Lisu sasa wajikite kwenye ushindi huko ndani yaani ccm ndani huko ,vyombo vya ulinzi na usalama na mwisho nec ili mabadiliko wayatakayo wananchi wayapate.
Najua walioshika nchi miaka 50+ sio rahisi kuachia lakini panahitaji sana msuli na lugha moja katika siku hizi chache zilizobakia. A serious and extensively organization
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
Wakuu natanguliza salamu , pia nawaombeni radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu lukuki zinazohusu uchaguzi , muda uliobaki ni mfupi na hatuna namna zaidi ya kuvurumisha hewani taarifa za Mgombea huyu mwenye mvuto kuliko wote na ambaye ni tegemeo la wananchi .

Leo tena Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano ya kuomba ridhaa ya watanzania mkoani Simiyu , ambapo itapigwa mikutano kadhaa .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za uhakika

View attachment 1600796

========

View attachment 1601005

Aingia Bariadi kwa kishindo

View attachment 1601000
View attachment 1600995
View attachment 1600995View attachment 1601236
View attachment 1600995
View attachment 1601000
View attachment 1600995View attachment 1601243View attachment 1601241
Leo kulikuwa hakuna movie ya kuzuiwa magari yenu kwenda Simiyu
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
utakimbia mwenyewe , endelea kubwabwaja
Nikimbie ili iwe nini? Maneno ya kukariri hayo. Tanzania haitakubali makuwadi wa kigeni kututawala na huyo kuwadi wa Amsterdam na vinyago wenzake.
 
Majibu ya maswali yetu kutoka kwa mgombea Lissu tutayapata lini! Ni yale maswali tuliyomuuliza kupitia jukwaa hili.
 
Sijawahi kuona muhaya mshamba Kama wewe!! ndugu zako wanalia bei ya kahawa imeshuka,, wewe unaleta utolopo wako hapa!! Wahaya wenzio wanalia kwa matusi waliyotukanwa!! mara mto ngono, mara tetemeko, na pesa za maafa zimeliwa! We unaleta pumba zako hapa!! wenzio wanalia yani weeee!! jinga kweli!!
Kwa pamoja wewe na familia yako mtoke kifua mbele tukampigie kura JPM kwa maendeleo ya Tanzania huyo mwingine tarehe 29 October atakuwa Brussels.

October 28th kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
  • Nzuri
Reactions: Ole
Back
Top Bottom