Ndivyo shetani anatakiwa kuadhibiwa mkuu [emoji23] tusimuonee huruma huyu..Sasa brother si bora ungegeuza upande tu. Yaani uwe unabangua bangua hizo angle? Kuliko kuanza kwa kuponda ponda kutakuchelewesha.
Ushahidi wa kiburi cha madaraka huu hapaKWANI MIM NDO NILILETA TETEMEKO.daaaaaaaa hii kauli inaniumaga hadi Leo
Natamani tuwe tunamega pande pande ado ado tunaanza na komweNdivyo shetani anatakiwa kuadhibiwa mkuu [emoji23] tusimuonee huruma huyu..
Ukosoaji unaruhusiwa ni fursa ya kujirekebisha, to make reforms.. lkn ukikosoa kwa kuzodoa, we will shun away from you! as our opponent and be handled accordinglySiyo kila anayewakosoa ni CCM
uyu n kumchinjia baharin tuu
All the best Next JMT presidentHuku siku zikizidi kuyoyoma kwa kasi kubwa kuelekea tarehe ya kupiga kura , Mh Lissu naye anaendelea kuchanja mbuga hapa na pale ili kuomba kura kwa wananchi .
Leo anaendelea na mikutano yake Mkoani Tanga ambapo kutapigwa mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ikiwemo Korogwe , Muheza na Tanga Mjini .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa za Uhakika .
View attachment 1607052
========
Excellent...
Wanastahili pongezi hawa wakina mamaExcellent...
Acha kuumiza kifua chako kwa kujipigapiga Independence hence Freedom ilishapatikana 9/12/1961...bado itabidi tumtafute mwalimu wako wa historia atuambie vizuri kwanini hakufanya kazi yake kwa weledi?Nikiona Raia Waelewa Kama Wewe
Najipiga Kifua Najisemea "Freedom Is Coming Tomorrow"
#NiYeye
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Afu kuna watu wanamtetea bila aibu!
Tulia dawa iingie au sindano kuingia tuu unakata unoDunia ya Sasahivi Mtu anaelalamika Anaitwa Muelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena vitu vingine ni Uongo na kukosa Taarifa Sahihi juu ya jambo husika
Unakunywa na Bia pembeniNikiona Raia Waelewa Kama Wewe
Najipiga Kifua Najisemea "Freedom Is Coming Tomorrow"
#NiYeye
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Kwa leo mtatusamehe tuna mambo mengi ya kudanya kwa wakati mmoja. Wanachama na wapenzi wa mabadiliko mtuvumilie.Kuleta thread bila updates za kinachozungumzwa na Lissu ni kutuchosha.
Mnaishia kuweka picha bila maelezo yeyote. Sijui huko CHADEMA mmekuwaje!
AminaAsante kamanda Erythrocyte Mwambie Rais Mtarajiwa asisahau kutoa elimu ya mpiga Kura.....
Watanzania wazalendo waliochoshwa na uhuni wa kuteka na mauaji, kubambikiwa kesi za uwongo, walioumizwa na kikokotoo, Fao la Kujitoa, wakulima, wafanyabiashara,mavuvi, wafugaji nk tunamwombea Afya Njema katika kukamilisha Kampeni zake.
Ni watu wenye tabia za kiroho mbaya kama huyu. Ni rahisi sana kujua tabia za mtu kipindi hiki. Tazama tu anapenda siasa gani?? Then amua kuwa rafiki yake au la!Afu kuna watu wanamtetea bila aibu!
Mbona unanitukana ?Tulia dawa iingie au sindano kuingia tuu unakata uno
Wala sijakutukana mkuu ninachotaka upate dose za kutosha angalau mponeMbona unanitukana ?
Tupone nini Mzee ?wala sijakutukana mkuu ninachotaka upate dose za kutosha angalau mpone