Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Watavuna wanachopandaNaona Azam wanabana,wametangaza wagombea wote,hapa bar tunasubiri Tundu Lissu,mpaka mwisho ni bila bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watavuna wanachopandaNaona Azam wanabana,wametangaza wagombea wote,hapa bar tunasubiri Tundu Lissu,mpaka mwisho ni bila bila
..Mkutano wa Mombo.
..Mtoa mada atusaidie kuhamisha video clips ukurasa wa kwanza.
cc Erythrocyte , Mmassy JM
Na mkubali Magu ila kumaneno huwa anasema( vinavyoashiria msimamo/falsafa yake) huwa vinazingua Sana. Vinanipa uncertainty.
La haula!!!
We are Survivors! Kumekucha Tanga, Mh. Tundu Antiphas Lissu kanyaga twende. Tarehe 28/10/2020 ni siku kuu, siku ya kuondokana na manyanyaso, siku ya kuondokana na madikteta uchwara, siku ya kuondokana na washamba na limbukeni. We are marching On
Hata Moshi hawakufikia hivi. Sijui Dar itakuaje!!🤔🤔🤔🤔
We are Survivors! Kumekucha Tanga, Mh. Tundu Antiphas Lissu kanyaga twende. Tarehe 28/10/2020 ni siku kuu, siku ya kuondokana na manyanyaso, siku ya kuondokana na madikteta uchwara, siku ya kuondokana na washamba na limbukeni. We are marching On...
Shikamoo salum Mwalimu!!Wakati Jemadari Lissu na Timu yake wakipigilia misumari kwenye Jeneza la CCM
Mgombea Mwenza Salumu Mwalimu anachimba kaburi la CCM huko Musoma