fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Nakuelewa Red blood cell kwa umuhimu ulionao pia katika kutupasha habari za maendeleo ya kampeni ya rais wa mioyo ya watanzania wapenda maendeleo ya kweli na si ya wale wanaotawala kwa ujinga wa watanzania.Nyakati za mabadiliko zikishafika huwa hakuna kuzuizi.