greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Mitano tena kwa jpm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu pekee iliyobuma ni hii ya kutowaapisha mawakala wa Chadema , na kama ccm ingekuwa na uhakika wa kushinda kama unavyotuaminisha humu isingekubali kuleta vita kwa kugoma kuapisha mawakala wa chadema .Tukutane hapahapa kuanzia tarehe 28 hadi 30
Mbona wameapishwa? Au unaongelea zile barua walizoforgeMbinu pekee iliyobuma ni hii ya kutowaapisha mawakala wa Chadema , na kama ccm ingekuwa na uhakika wa kushinda kama unavyotuaminisha humu isingekubali kuleta vita kwa kugoma kuapisha mawakala wa chadema .
Wenzenu wanakesha kuhujumu uchaguzi nyinyi mnaleta masihara !
Mkuu Tundu Lissu ameichafua Muheza muda huu! Watu usipimeTanga Mjini
View attachment 1607474
Mwana fa ana hali gani hapo muheza?Mkuu Tundu Lissu ameichafua Muheza muda huu! Watu usipime
Aiseeee hyu mtu hata wakimnyima Urais ila amekijenga sana chama. Yaani Tanga mjini ni nyomi tena hili bila promo, wala wasanii wala bango wala matangazo ya TV!!Tanga Mjini
View attachment 1607474
Anashinda Urais na anatangazwaAiseeee hyu mtu hata wakimnyima Urais ila amekijenga sana chama. Yaani Tanga mjini ni nyomi tena hili bila promo, wala wasanii wala bango wala matangazo ya TV!!
Sio mtu wa kawaida!!
Maalim Ponda ndani ya Tanga Mjini
View attachment 1607531
Mkuu naomba upandishe na hii
Tanga mpoooooooooooooooo!!
Kuna mtu akilala huwa anaiota hii kauli alafu anashtuka. Haaahaaaa
Wanamtetea ni washamba Kama alivyo yeye!!Afu kuna watu wanamtetea bila aibu!
Siunajua hata ukienda porini, wanyama wenye tabia za kufanana. hutembea pamoja kwa makundi!!Afu kuna watu wanamtetea bila aibu!
WaTz wengi CCM ilitufanya kuishi kwa MAZOEA. Lakini kitu kinachofurahisha idadi kubwa imeanza kuondokana na kuishi kwa mazoea. Watawala wa CCM na wafuasi wao wachache kama wewe bado wamo katika kiza cha mazoea!!!Ata yeye Lisu anajua anakwenda kushindwa vibaya Ila anacho ogopa ni kushindwa kwa aibu,Ila Hakuna budi ilo kutokea.
una roho ngumu sana !Mitano tena kwa jpm
Ni hivi , Uchaguzi huu kuna watu watazimia , subiri !Tanga imekombolewa dadekiiii weita sita za baridiiiiii......
Kama wewe ulivyo kuwa na roho ngumu kumwaga kilo moja ya sukari ndani ya ziwa victoria ili maji yawe matamu.una roho ngumu sana !