Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
me too
na nawashawish watu 30 ninaowajua wenye smart phone kufanya hivyo
1.Kiukweli kabisa, kutegemea kashfa za ngono zikuinue kimziki, ipo siku watu watakasirika na kukumwaga coz mabinti au mabwana unaowatenda, wana ndugu jamaa marafiki na mashabiki ambao ndio hao hao wanaolipa viingilio na kukupigia kura.
2. Unapozidharau tuzo za nyumbani, mazingira ya nyumbani na wanamuziki wenzio wa nyumbani, eti "its too local" unajikata mizizi mwenyewe, na soon majani yako yatakauka na kufa kabisa kimziki.
Ni hayo tu, mfikishieni mhusika.
Wew ukimpiga Vanessa na Diamond unaweka Asia mbele eeh?
Alitegemea angepigiwa kwa kwa kumpa zari mimba
Diamond hivi karibuni alitoa kauli kuwa "Ali Kiba anakula makombo yake" akimaanisha uhusiano wa Ali Kiba na Jokate Mwegelo eti Jokate ni makombo ya Diamond!
Hilo ni tusi na alipaswa kuomba radhi na kuonyesha kujutia kauli yake hiyo! Hivi mtu na akili yake timamu tena kioo cha jamii kwenye nchi ya maadili unatoa kauli kama hiyo?
Hamuwezi amini lakini hata hizo tuzo mbili ilikuwa ni kumhurumia tu kwani hakustahili! Ni lazima afunzwe adabu!
Tukianza kutoa lugha chafu kama hizo hatujengani kisanii! Jokate naye ni msanii na hapaswi kudhalilishwa na mwanaume kisa eti alimpa penzi!
Hapana huyu ni lazima ajirudi na ajuwe kuwa yeye ni kioo cha kujenga jamii na siyo kuibomoa! Nadhani hilo ni onyo kali kwake!
Huielewi Mwana?
We utakua una masikio ya nyoka
Kuna category sizielewi!na wasanii siwaelewi,wapeane tuzo hata zote ila mitaa ndo inajua who's the best.
Marahabaaaaa tukiamua kukuinua tunakuinua bureeee kabisa. Tukiamua kukishusha huchukui dakika. Niko busy kumvote davido
Nilipga kura zaid ya Mara 70
Na ninafurahia ushindi Wa kibanio
Kawabana sehemu Fulani hivi unnamed
Alitegemea angepigiwa kwa kwa kumpa zari mimba