wewe ulikuwa wapi?Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
kua na Polisi wa chache maana yake ni uwezo mkubwa na uimara walio nao katika kukabiliana, kudhiti na kuwahudumia wahalifu virungu,Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
WA TZ MUMUSHUKURU MUNGU ALIYEWAWEKEA MCHAWI NYENYERE. NYENYERE NDIE ALIYEROGA WA TZ WOTE WAWE MAZUZUVijana gani unawazungumzia mkuu? Hawa wanaotia kelele jf? Chadema wafuasi wao ni wa kweny comment tu na si zaid ya hapo kwahiyo usije kutarajia hicho kitu, wakiwa humu na huko X kelele nyingiii na kulalamika haya nenda huko barabaran ππ
Huzuni sana mkuu ππ halaf wanakuja tena hapa jf kulaumu watu hawajaandaman wakat wao pia hatujawaona zaid ya mwenyekit na waandishi wa habari tu, acha waendelee na matusi tu siasa basi sasa washafahamu kuwa wananchi hawa wakubali.
Wanasiasa wanataka kuingia madarakani ili watengeneze maisha yao binafsi kwa maslahi yao kwanza kusema uko tayari kufa kwaajili ya mwanasiasa yoyote huo ni ujinga wa kiwango cha juuKuna Mzee mmoja ana ulemavu alioupata miaka ile ya maandamano ya CUF ya Lipumba anakwambia kaandamane ikiwa Kuna chochote kitu utapewa maana wao (viongozi) ile ni ajira yao tofauti na raia wa kawaida.
Alipoteza mguu kwa kipigo ktk maandamano na hakuna chochote alichokipata Wala kuuguzwa na mwanacuf yyt zaidi ya kusumbua familia yake ambao anakwambia walimchamba mno! kwa maneno ya kejeli kwa kitendo chake cha kukubali kutumiwa na viongozi waliohamasisha maandamano. Leo hii CUF ipo wapi?
Acha kujifanya umejitoa akili! Sio vijana wa CHADEMA tu, bali hilo ni la Watanzania wote! Kwa hali ilivyo hapa Tanzania, hata yale ma parade ya Simba na Yanga, watangaziwe hali ya hatari vile, hakuna ambaye angethubutu.Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
Unazungumza na Wadanganyika? Itabidi usubiri sana. Nimejiridhisha kwamba ule msemo usemao "debe tupu haliwachi kutika" kwamba ni kweli. Hii ni mara ya pili kusema bila kutenda. Wacha waendelee tu. Huenda kuna siku wataletewa haki ndani ya kisahani kama keki.Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
Kwa miaka mingi TANZANIA Chini ya serikali ya CCM.Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
Hujui maana ya "Democracy" unaonyesha una very very poor reasoning.Vijana wa chadema walikua jana wameandamana wale bavichaπππ auu ndio vijana wakina mbowe na mwanae?
Ila mimi nasema CHADEMA nikuwalisha mitama tu, one time.
Kwa CHADEMA acha niwe na poor reasoning, Chadema hawana muelekeo. Ni mabuti tu.Hujui maana ya "Democracy" unaonyesha una very very poor reasoning.
Mkuu usijisumbue kunijib maana nimesha bonyeza ignore button β
Wewe bakia kuimba sifa za Samia tuu huwezi kufikirika lingine lolote.Vijana gani unawazungumzia mkuu? Hawa wanaotia kelele jf? Chadema wafuasi wao ni wa kweny comment tu na si zaid ya hapo kwahiyo usije kutarajia hicho kitu, wakiwa humu na huko X kelele nyingiii na kulalamika haya nenda huko barabaran ππ
Huzuni sana mkuu ππ halaf wanakuja tena hapa jf kulaumu watu hawajaandaman wakat wao pia hatujawaona zaid ya mwenyekit na waandishi wa habari tu, acha waendelee na matusi tu siasa basi sasa washafahamu kuwa wananchi hawa wakubali.
Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards