Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona hujaandamana?Gen Z wa Bongo ni hovyo kabisa wanaogopa migambo wenye virungu mtaani
Na uzee wangu wote huu MG mstaafu nikafanye nn huko hata kirungu nilisha kichoma kuni huku Maneromango msangaWewe mbona hujaandamana?
Tuje akati hatuwaoni 🤣Ndivyo mlivyopanga? Haya njooni
niko Morocco Airtel mko wap kamanda?🤣Unatia aibu ukiwa wapi?
Hakuna ata kichwa kimoja rodi 🤣vip hali ya maandamano kwa sasa ndrugu zangu?🐒
Jamaa wamezama magogoni Kama Congo wana cheki marudio ya Simba na al ahalyvip hali ya maandamano kwa sasa ndrugu zangu?🐒
Magogoni hapa njoo pitia Ally Hassam Mwinyi Rd hakuna foleniniko Morocco Airtel mko wap kamanda?🤣
Haaah kweli mkuu tumevua na T-shirt za BAVICHA 🤣🤣🤣🤣Nimejikuta nacheka kwa sauti ndani ya daladala
mbona kila mtu ana kona yake 🤣🤣🤣Magogoni hapa
Uongo upi sasa sisi wengine tunaenda na time saa 3 kamili nimerika hakuna watu nifanyeje?Acha uongo mkuu unakusaidia nini?
Sogea sogea hadi lumumba hapa utaniona.niko Morocco Airtel mko wap kamanda?🤣
ukarudi zako home auUongo upi sasa sisi wengine tunaenda na time saa 3 kamili nimerika hakuna watu nifanyeje?
huoni wameandamana na kama hawaandamani mbona polisi wamejazwa kila mahala pamoja na magari mbwa na farasi kwahiyo kila mtu amepata ujumbe nchi imetikisika sanaWakiandamana niite mbwa