Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Unasema watu hawakwenda kumuona sababu walishaenda kumuona kwa (wingi) wakati anatafuta wadhamini....ok. Far pia alikuja kutafuta wadhamini au sio? Hiyo picha yenu kwa hisani ya tbccm mliyopiga mapema ndo kituko mlichobaki nacho.
 
Ukiondoka vandame huyu anafuata kupigwa risasi nyingi na akabaki hai
 
Huwezi kushinda uchaguzi bila ya kuwa ma rasilimali fedha na watu!. CDM kwenye hili tu wamefeli ,uhamasishaji na mikakati tu inawashinda !. Wataishia kujipa matumaini tu, ikulu wataisikia redioni!
 
Unasema watu hawakwenda kumuona sababu walishaenda kumuona kwa (wingi) wakati anatafuta wadhamini....ok ..Far pia alikuja kutafuta wadhamini au sio? Hiyo picha yenu kwa hisani ya tbccm mliyopiga mapema ndo kituko mlichobaki nacho.
Wapuuzi hao!

 
CCM wanaenda kujaza uwanja kwa nguvu ya wasanii. Watu wanaenda kuangalia show za bure za wasanii wa bongo fleva.
Kwani hao wasanii niwa chadema au Chauma?

Kuna ubaya Wananchi kwenda kuwaangalia wanaCCM waliojaliwa vipaji vya usanii?

Si nanyie mnao wasanii Kama kina sugu, Prof Jay, Roma na n.k mbona mnalialia Kama mwanamke alienyimwa haki ya tendo lake la ndoa.
 
Mie nakumbuka 2015 ufunguzi wa kampeni za Chadema ulifanyika viwanja vya jangwani? Sasa hiyo ya mbagala ilikuwa ya rais au mbunge?
Yeye ameiabisha mbagala ya 2015 dhidi ya 2020

Sultani Mbowe akipata kiwewe Hadi kafukuza waandishi

Ni wao Chadema waliowaalika waandishi wa vyombo vyote,thread IPO humu,lakini kwa kuchanganyikiwa akaamua kuwafukuza
 
Yeye ameiabisha mbagala ya 2015 dhidi ya 2020
Sultani Mbowe akipata kiwewe Hadi kafukuza waandishi
Ni wao chadema waliowaalika waandishi wa vyombo vyote,thread IPO humu,lakini kwa kuchanganyikiwa akaamua kuwafukuza
Mbagala ulikuwa mkutano wa nini? Any way kwa mtanzamo wangu.kwa mtu aliyefungiwa kwa miaka mitano kupata watu hao tena waliojipeleka wenyewe tena kwenye Jimbo linaloongozwa na CCM ambapo hawakupewa nafasi hata ya mkutano wa ndani for 5 years nadhani watu hao ni wengi sana.Any way acha niende kawe nikajionee mwenyewe
 
Unajifariji, hata ukijaza kawe kwa mafuso, lakin habari ni kuwa uzinduzi ulidoda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…