Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

Hivi kuna 31 ya June kweli? au mie ndie sielewi?
 
Shahidi wa leo naye ni mwanasheria, sasa kama alikua anaona wenzake waliomtangulia wanakosea kwasababu hawajasomea sheria ngoja asubiri zamu yake, kibatala anamlia karanga
 
Ana ukweli gani njaa tupu inamsumbua.
 
Shahidi wa leo naye ni mwanasheria, sasa kama alikua anaona wenzake waliomtangulia wanakosea kwasababu hawajasomea sheria ngoja asubiri zamu yake, kibatala anamlia karanga
Tena kheri asingesema ni mwanasheria..Leo ni leo ..naona muda huu na mkewe anamsikiliza mume wake eskariot akiwa mahakamani ili hela wazigawane vzr
 
Jamii forum tu ndiyo wanauwezo huo wa kumtetea member wao kutoka kwenye uonevu
 
Kampuni lakini wategemee kupungua kwa wateja
 

Watu wanashindwa kuelewa kwanini tunamlaani mwendazake...

Enzi za utawala wake aliwanyanyasa sana wapinzani pamoja na wananchi waliokuwa wakishirikiana nao katika mambo mbalimbali ya kijamii....

Kwa mhe. Mbowe hali ilikuwa mbaya sana...
Akinunua hata shati dukani kwako akaonekana na wambea wa ccm, TRA watakutwanga kodi mpaka ufilisike!
Akila chakula kwenye mgahawa wako (akaonekana na wambea wa ccm), TRA watakumaliza!
Yani ilikuwa shida tupu, kwenye vikao vya ccm mkoa na wilaya unamsikia mwenyekiti anasema 'flani si anajifanya mbishi, umeona kitu tumemfanyia?" Hii iliwaumiza sana hata baadhi ya wanaccm wenye ubin-adam waliokua vikaoni.
Ewe Lucifer, umgeuzegeuze huyo karagosi aive kotekote kama mshikaki wa fillet!!!
 
Asante kwa update mkuu, kazi nzuri sana, hawa mashahidi wanatia kinyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…