Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Yule mama alidai kua aliwaona hao watu katika kibanda cha usajili laini wakati akifagia yeye na binti yake

Alisema alishuhudia tukio la polisi kutoa amti ya kuwaweka chini ya ulinzi akiwa hatua kumi kutoka alipo mpaka tukio linapofanyika

Shahidi wa leo anasema tukio la kutoa amri ya kuwaweka chini ya ulinzi ndio iliyowashtua watu na watu hao walikua umbali wa hatua 5 au 6

Shahidi wa leo ambaye ni polisi ameonesha hakuwa na hakika wa vile vitu vilivyo patikana ni vitu gani kwa watuhumiwa baada ya kuwasachi, lakini yule mama ambaye aliitwa kama shahidi katika maelezo yake aliweza kutambua kua ni madawa ya kulevya

Yule mama alisema kuna pakiti mbili zilikutwa ambazo moja ili contain kete 21 (ambapo katika jarida lake mahakamani iliandikwa kete 25) na pakti nyingine ili contain kete 58

Katika maelezo ya huyu shahidi hakuna taarifa za kete 58
Yule mama yaan adi bastola anaijua vizuri na serial namba anaijua, magazine inapokaa adi risasi, anasema alishuhudia wakiamrishwa kukaa chini lakini uyu wa leo anasema alienda kuwatafuta kwenye mabanda yao maana yalikuwa wazi kwa vyovyote kulikuwa na shughuli zinaendelea (akimaanisha aliamini lazima kutakuwa kuna watu) shahidi wa leo anataka kuiambia mahakama hapakuwepo na watu wengi na ndio maana akaenda kutafuta watu wa ushahidi....wanajichanganya
 
Shahidi no 8 leo kaja na ki... mav...

Hii kesi mwisho wake utakuwa ni aibu tupu, mlio karibu na Maza mwambieni aifute na waliomshauri vibaya awachukulie hatua kali ili iwe fundisho wa wengine kuchezea mihimili hovyo hovyo.
 
Si ndio kama walivyomuwekea mzee wa watu meno ya tembo umbwa takataka ghasia hao mwenzao keshafukuzwa....ila kumbuka mahita alisema watu walikusanyika pale kwenye lile nyomi ndo wakachukua mashahidi, leo jumanne anasema alienda kuwatafuta kwenye mabanda yao ya mbege
Naungana na Lema watoe mawakili hakuna kesi hapa ni uonezi tu. Huyu mama yetu ni Mzanzibar kweli?!
 
Shahidi: Nikamwambia Afande Kingai kuwa Ngoja Nikaite Watu kwa ajili ya kushuhudia

Wakili wa Serikali: Ukawafuata wapi?

Shahidi: Palikuwa na Maduka na Mabanda kwa hiyo niliamini kuna watu wanaoendelea na Shughuli zao Na hapo watu watu walikuwa Wamesha Anza Kusogea

Wakili wa Serikali: Zoezi la Kutafuta Mashahidi lilifanyikaje

Shahidi: Nili angalia Maeneo Kadhaa Nikaenda Kwenye Banda, Ni kauliza nani anaye husika hapa, Kwamba Kwakuwa Kulikuwa wazi basi Kuna Shughuli zilikuwa zinaendelea Baada ya Kuuliza hivyo alijitokeza Dada Mmoja kwa Jina la Anita Mtaro




Mahita juzi alipoulizwa kwa nini aliamua kumfata shuhuda alie mbali, alisema shuhuda hakufwatwa kwenye duka lake ila alikua among the crowd[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
scripts zinagongana, vichwa vigumu - jaji atawabeba vipi hambebeki nyie wafilisiti ... mwachieni Mbowe aendelee na shughuli zake za kulikomboa taifa letu.
 
ulipopigiwa simu na Kingai ukafurahi ukajua perdiem imeingia... kutatua matatizo madogo madogo uliyokuwa nayo kwa hiyo hukutaka hata kujua kwa undani ni jambo gani Kingai alitaka ufanye huko uendapo, cha msingi kwako ilikuwa perdiem tu.
Hii kesi hata kama watamfunga Mbowe. Sirro na Kingai wanapaswa kufukuzwa kazi.
 
Shahidi no 8 leo kaja na ki... mav...

Hii kesi mwisho wake utakuwa ni aibu tupu, mlio karibu na Maza mwambieni aifute na waliomshauri vibaya awachukulie hatua kali ili iwe fundisho wa wengine kuchezea mihimili hovyo hovyo.
wacha ifike mwisho Gaidi afungwe vizuri
 
watazikana tu, achana na kitu kinaitwa laana hapa duniani, watu wanafikiri hakuna sheria katika ulimwengu wa kiroho wanafikiri ni hizi sheria za duniani tu - no no no.

Hata mwenyezi Mungu alishindwa ku-justify ukombozi wa wanadamu hadi akamtoa nafsi yake izaliwe kama mwanadamu wa kawaida, damu umwagike ili ukombozi upatikane, hizi ni sheria za uumbaji wa ulimwengu.

Sheria zipo, na ni lazima wote wanaotesa wenzao wataipata hapa hapa duniani. unaweza kukuta hata mkeo anatembea na marafiki zako wa karibu tena chumbani kwako ukisafiri au hata kama upo, mwanao anakuwa msagaji ama shoga - ni moja ya laana hizo unashuhudia ungali hai.
Huwezi kumwaga Damu Mungu akakuacha salama. Never
 
Yule mama yaan adi bastola anaijua vizuri na serial namba anaijua, magazine inapokaa adi risasi, anasema alishuhudia wakiamrishwa kukaa chini lakini uyu wa leo anasema alienda kuwatafuta kwenye mabanda yao maana yalikuwa wazi kwa vyovyote kulikuwa na shughuli zinaendelea (akimaanisha aliamini lazima kutakuwa kuna watu) shahidi wa leo anataka kuiambia mahakama hapakuwepo na watu wengi na ndio maana akaenda kutafuta watu wa ushahidi....wanajichanganya
Hii kesi ina scenes za kitoto sana, hata bongo movie kwa uchanga wao wasingeweza kuweka scripts mbovu kama hizi

TRA kutwa mitaani wanafanya watu wafunge biashara zao ili kodi ikipatikana ikatumike kwenye hii kesi
 
Leo katika mahakama Kuu askari aliyejitambulisha kwa jina la Jumanne Malangahe, amejitokeza kama shahidi wa nane wa upande wa mashtaka.

Askari huyu ni mmoja kati ya Askari wanaotuhumiwa kumdai rushwa ya TZS 200,000,000 Prof. mstaafu mzee aitwaye Prof Maeda. Baadaye walipunguza wakamdai TZS 100 m na mwisho eti kwa kumhurumia wakapunguza Mpaka wakapokea TZS 50 m.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Takukuru Arusha, Jumanne na wenzake wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.

Leo Jumanne ni shahidi mahakamani!
 
Back
Top Bottom