MTU ambaye hamjui katechista wake,paroko,na hata Aloysius's headmaster wake. MTU ambaye kamaliza form 4 na hajui div 4 inaanzia point gani naendelea kutilia MashAka hata nafasi yake Kama mwanausalama!aaahh Kibatala umenikumbusha mambo ya Will Gamba (Number moja) na Boss wake Mwinyisudi na kiko lake mdomoni - ofisi zao pale karibu na Sukari Hse !!
JWTZ hawana mtu hapa, amekaririshwa ila bichwa zito kushika.
Wasichokijuwa wengi, Mbowe ana kaka yake ni marehemu sasa, alikuwa ofisa wa cheo cha juu jeshini, msiba wake hata shetani mwendakuzimu alihudhuria.Mbowe sio kiazi kiasi hicho, yaani akurupuke aende kuongea na luteni wa jeshi kuhusu kuleta taharuki?
Hivi kwa cheo Mbowe alichonacho, namna anaijua serikali kuliko hata mimi ambae nisingekubali, inakuwaje aongee na luteni wa jeshi jambo classified kama hilo eti kisa ni homeboy?
Huyu jamaa kani block kwa sababu ya mambo ya Simba na Yanga
Tafuta tarifa zaidi,wao wamekupa vidokezo tu. Nenda kazungumze na urioMkuu mbona nafuatilia vizur tu pia na appreciate Sana mchango wako ktk kutuletea updates Ila ktk kufuatilia kwangu hii ya lock up sijaielewa kwahiyo sio vibaya nikifahamishwa.
Kwahiyo inawezekana kweli Jeshi likaridhia askar wake tena commando awekwe kizuizini na polisi mpaka muda huu ? Pia najiuliza kipindi kile inasemekana ameteswa na Kina Kingai JWTZ walichukua hatua gan kwa commandoo wap tena akiwa Bado anahudumu kazin kufanyiwa kitendo kile?Urio inavyoonesha angali mateka wa kina Kingai si kwamba kanunuliwa (rejea maswali ya kiufundi toka kwa mh. Kibatala - kamuuliza katokea wapi kuja mahakamani - hotelini au nyumbani!? Alisali lini kanisani kwake...)
Huyu inaonesha yaliyomkuta ROMA ndio yanaendelea kwake hajatokea kwake bali katoka kizuizi fulani!!
Giza linaendelea kufunikwa na mwanga hatimae kutapambazuka na nuru itaangaza huku madhalimu wakiangamia mmoja baada ya mwingine.
Daah mm pia ukiniuliza nitakuambia sijui vyote hivyo naona ni kawaida tu mkuu Wala usishangae.MTU ambaye hamjui katechista wake,paroko,na hata Aloysius's headmaster wake. MTU ambaye kamaliza form 4 na hajui div 4 inaanzia point gani naendelea kutilia MashAka hata nafasi yake Kama mwanausalama!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Naweza shangaa Kama ukisema huna hauko makini. Wakatoliki wana mifumo mizuri ya uongozi wao,ni muhali sana kwa muumini makin asitambue.Daah mm pia ukiniuliza nitakuambia sijui vyote hivyo naona ni kawaida tu mkuu Wala usishangae.
Kutohudhuria kanisan Wala jumuia kwan ni kitu cha ajabu?Naweza shangaa Kama ukisema huna hauko makini. Wakatoliki wana mifumo mizuri ya uongozi wao,ni muhali sana kwa muumini makin asitambue.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ungekuwa makini ingekusaidia kuelewa hoja yangu. Kwakuwa hauko makini,hujui nachokijadili baasi unajukuta unaandika unayofikiria badala ya kufikiria unayoyaandika!Kutohudhuria kanisan Wala jumuia kwan ni kitu cha ajabu?
Mtu wa hovyo hawezi kuwa Urio peke yakeDaah mm pia ukiniuliza nitakuambia sijui vyote hivyo naona ni kawaida tu mkuu Wala usishangae.
Haya yule shahidi Kaaya mpambe wa zamani wa Sabaya hivihvi ilikuwaNa ukumbuke awali Lt Urio alikamatwa kama mtuhumiwa akateswa sana na hao hao akina kingai cha kushangaza leo kawa shahidi baada ya kununuliwa na akina kingai
Mi nasubiria ule ushahidi tulioambiwa utaistusha dunia.
Yaani Mbowe amemtafuta Homeboy wake; wanajenga mahusiano naye kwa mda; anakuwa anamtumia salam za kheri kwa matukio makubwa ya mwaka; anamuita wakutane; Halafu URIO aende na voice recorder- AKILI ZA AJABU SANAKwa hiyo unahakika Kuna kesi ya kujibu mpaka hapo? Hakuna hata jinai moja hapo yenye ushahidi concreat.Ninachokiona ni fabrication tu.Hakuna hata mesej moja au voice note inayoonesha jinai ama kusudio la kutenda jinai.Mtu hafungwi tuNd,anafungwa kwa kesi ya kujibu ambayo upande wa mashtaka utaleta ushahidi usioacha hata punje tu ya shaka.Shahidi aliyekuwa anasafiri bila ticket,anaingia office za serikali bila kusign vitabu vya wageni ndo aje asababishe mtu afungwe.Siyo rahisi.
Askari hawezi kuwa raia ila raia anaweza kuwa askariNilivyoelewa ulikuwa mchongo Mbowe ajae
Napenda kusema heri tusikilize tu itakuwaje maana urio sio mwehu
Hapo ukitulia sana utajua hoja ya kwanini hilo swali...Kutohudhuria kanisan Wala jumuia kwan ni kitu cha ajabu?
Acha hizo mbona bi Tozo alimtumia Salam za pole alipofiwa na kakaYaani Mbowe amemtafuta Homeboy wake; wanajenga mahusiano naye kwa mda; anakuwa anamtumia salam za kheri kwa matukio makubwa ya mwaka; anamuita wakutane; Halafu URIO aende na voice recorder- AKILI ZA AJABU SANA
Ok- Urio ameenda, hajui alichoitiwa; hatimaye Mbowe amamwambia lengo lake;Halafu Urio amwambie subiri kidogo nifuate voice recorder nije nirecord ulicho na utakachosema- AKILI ZA AJABU SANA
Mkuu tunamjua Mbowe na akili zake za kihalifu za kuzaliwa alijaribu kuchukua tahadhali zote isipokuwa uhalifu una mwisho- na mwisho wake ni sasa.-Mbowe kaumiza watu wengi sana na malipo ni hapa hapa duniani- ATALIPA.