Ni kweli tena ushahidi usiotia shaka,kwa sms hizo na hadith za kusimulia hizo, lazima Mbowe aishie gerezani.Wale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
Bado Matata naye hajampandia hewanikibatala anaenda maliza mchezo.. kwa kumuangushia kitu kizito komando
😀😄😄 atapata sana taabu.. nafikiri alipangwa awe kiburi.. ila kaisha enda na maji tayariBado Matata naye hajampandia hewani
[emoji12][emoji12]Home boy alikaririshwa aseme kwamba Mwamba kavaa miwani,nayeye bila kutumia akili akaropoka kama Chiriku.
[emoji13][emoji13]Leo naona mizimu ya KiChagga iko kazini Mbowe haonekani Mahakamani...
Huu ni upuuzi at it's best,hakuna aliye juu ya KATIBA ya nchi,shahidi anatakiwa awe mkweli na kiapo alichoapa mahakamani na kama kuna siri za nchi,mahakama itaamua the way forward ikiwa ni pamoja to declassified informations kama hazina athari kwa nchi.Jeshi halipo juu ya sheria.Kiapo cha Jeshi siyo mchezo bwashee!
Ndio maana Jeshi lina mahakama yake.
Urio ndiye aliyeapa jeshini so anakielewa vema kiapo chake!Huu ni upuuzi at it's best,hakuna aliye juu ya KATIBA ya nchi,shahidi anatakiwa awe mkweli na kiapo alichoapa mahakamani na kama kuna siri za nchi,mahakama itaamua the way forward ikiwa ni pamoja to declassified informations kama hazina athari kwa nchi.Jeshi halipo juu ya sheria.
Luteni ni nyota mbiliinamaana jeshini ukiwa chini ya nyota na umefika miaka 45 unastaafishwa sio,mbona mapema sana umri huo kustaafishwa
Unachekesha kweli wewe....au wewe ndio Urio?Kwa mujibu wa mtangazaji Godfrey Monyo wa ITV ni kwamba Luteni Urio amesema hawezi kukiuka kiapo chake cha kijeshi kwa kutoa siri za JWTZ mahakamani.
JWTZ ina msemaji wake kwa mujibu wa kanuni zake.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
cc: Yoda
Hizo Chats ndio zimesomwa Leo!Hazina viashiria vyovyote vya ugaidi!Hizo telegram chat na simu walizopigiana hauziamini?
Na nimekuuliza Ina maana kamanda urio anamsingizia mbowe?
Kwa mujibu wa mtangazaji Godfrey Monyo wa ITV ni kwamba Luteni Urio amesema hawezi kukiuka kiapo chake cha kijeshi kwa kutoa siri za JWTZ mahakamani.
JWTZ ina msemaji wake kwa mujibu wa kanuni zake.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
cc: Yoda
Umeshajiita mjinga weye, unafikiri mahakama inapokea hadithi ?Kwa hyo unataka kusema kamanda urio anamsingizia mbowe?
Bila bila kweliSiwezi kuwatelekeza nitaambatana nao Kila mahali....!
Yaani wakikata miti Mbowe yupo, wakilipua kituo cha mafuta Mbowe yupo, wakisimamisha magari Mbowe yupo?
Wamfunge tu kama ni hivyo.
Unaweza kumlaumu huyu jamaa (Urio) kawaingiza wenzake kwenye matatizo ila huenda walipokamatwa pamoja na wenzake alibanwa kisawasawa na akakubali (kwa shingo upande) kuwa shahidi wa jamhuri...makomandoo waachiwe mara moja.
..wabaki mbowe vs urio, na hata hapo bado sijaona ugaidi.
WE nae ni mwehu kama alivyokuwa mwehu mwenda zake .sina chuki binafsi bali nina hasira sana na mtu yeyote anaye chezea amani ya nchi hii.
huyu mboe dhamira yake ilikuwa ni kuichezea amani ya nchi huku akiwa amejificha kwenye kivuli cha uenyekiti wa chama!!
hata hivyo ashukuru sana Mungu Tanznia kuna utawala wa sheria, ingekuwa nchi zingine zisizo fuata utawala wa sheria.....hiiiiiiiiieeeee!!
Kilio sijui Urio kazi anayo,ataomba kwenda msalani mara tatu tatu.Kwa mawakili wenye akili, wanaweza kumwomba Jaji asichukue ushahidi wowote wa shahidi kwa sababu hawezi kuisaidia mahakama kutenda haki. Na nadhani ndio kinachoenda kutokea hapa, Jaji atataka shahidi ajibu na majibu mengi yakiwa "sijui", "siwezi kujibu hilo", "sifahamu" shahidi anakuwa ameonesha incompetency. Inadmissible ushahidi is on the cards!! Na ukiangalia kuwa shahidi huyu ni muhimu, inaacha sehemu kubwa ya mashtaka uchi! Shahidi anajua anaelekea kuulizwa "kwanini uliwachagua washitakiwa hawa na wala sio wengine inactive au serving. Je ulijua ndio wanaweza kulipua? Imani yako kuwa wanaweza kulipua inatokana na mafunzo uliyowapatia wewe"??
Mzee hii kesi ni aibu yetu wote sisi watanzania katika mataifa... Naona aibuHuyu shahidi jana alisema Mbowe alikua anatumia namba tofauti tofauti, Leo kwenye chatting za telegram yeye ndo alikua anamtahadharisha Mbowe, afu kama alikua kwenye mission na kina Kingai kwanini amtahadharishe target man? Au ndo sababu ya yeye pia kuteswa kama kweli aliteswa.... Anyway kesi hakuna hapa tufanye shughuli zingine za maendeleo