Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Kuna siku kuna CCM mmoja Mtaani Aliniambia kuwa, CCM wamejitahidi sana Kuzuia Ugaidi si kama Kenya na Nchi Zingine. Nilicho Mjibu nilimjibu kuwa Hawajaamua Kuja Tanzania wakiamua kuja watakuja muda wowote na Hakuna Wakuwazuia. Hakunielewa Leo Baada ya Hii kesi Ananiambia Aise ulichokuwa unasema Ni sahihi, Magaidi wakiamua Wanatupiga Tukio Muda wowote. Nikaona Akili zimeanza Kumkaa sawa.

Aina Ya Watu kama Kina Denis Urio ndio wazuie wale Al-Shababu kufanya Matukio vile wale Jamaa wako Smart? Wanaweza kuingia Kwenye Nchi wakaanza kumuandaa mtu akiwa na miaka 9 kuja kutekeleza Shambulio akiwa na Miaka 30….. Akija Denis Urio kwa Hizi Akili wanaweza Kujua Hayo Kweli [emoji28][emoji28][emoji28]

Ndio Maana Nashon Alimwambia mwanzo kabisa kuwa hii kesi inaweza kumfanya Awe Shudaa Au Awe kituko.

Kachagua kuwa Kituko [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni kilaza huwezi kuelewa!Mantiki ya swali hili ilikuwa kujua uhaba wa makomando mpaka watumie waliofukuzwa kwenye issue nyeti kama hiyo na kwamba kwanini asingetumia walioko kazini kumaliza utata.
Hii ishu ilianzia wakati wa utawala wa Jiwe na Urio alitegemea ingefanikiwa ngepanda cheo kama kina Mbuge alivyopanda hii yote kwa Urio ni tamaa
 
Kuna siku kuna CCM mmoja Mtaani Aliniambia kuwa, CCM wamejitahidi sana Kuzuia Ugaidi si kama Kenya na Nchi Zingine. Nilicho Mjibu nilimjibu kuwa Hawajaamua Kuja Tanzania wakiamua kuja watakuja muda wowote na Hakuna Wakuwazuia. Hakunielewa Leo Baada ya Hii kesi Ananiambia Aise ulichokuwa unasema Ni sahihi, Magaidi wakiamua Wanatupiga Tukio Muda wowote. Nikaona Akili zimeanza Kumkaa sawa.

Aina Ya Watu kama Kina Denis Urio ndio wazuie wale Al-Shababu kufanya Matukio vile wale Jamaa wako Smart? Wanaweza kuingia Kwenye Nchi wakaanza kumuandaa mtu akiwa na miaka 9 kuja kutekeleza Shambulio akiwa na Miaka 30….. Akija Denis Urio kwa Hizi Akili wanaweza Kujua Hayo Kweli [emoji28][emoji28][emoji28]

Ndio Maana Nashon Alimwambia mwanzo kabisa kuwa hii kesi inaweza kumfanya Awe Shudaa Au Awe kituko.

Kachagua kuwa Kituko [emoji28][emoji28]
Unamchukulia poa Dennis kwenye utekelezaji wa majukumu ya kazi yake sio?
 
Mnachoshindwa kuelewa hii kesi ni kitu kimoja.
Mbowe hatuhumiwi amefanya ugaidi.
Bali ANATUHUMIWA KUTAKA KUPANGA MATENDO YA KIGAIDI.ambayo wakati anapanga akamshirikisha mtu sio.
Ndo maana akawa Ana chat nae anampigia simu na kumtumia hela.
Mtaelimika lini nyie watu!?
KIUFUPI MKUBALI MKATAE MWENYEKITI KUNA SEHEMU KAKOSEA.
hauwezi kupanga mipango na mwanajeshi ukawa salama.
Hizo Chats ndio zimesomwa Leo!Hazina viashiria vyovyote vya ugaidi!
Sasa simu walizopigiana,audio ziko wapi?
Inabaki ni competence ya shahidi,Je anaweza kuaminika?So far ameonekana ana elements za uongo!
Huyu Urio ambaye ndiye alitegemewa sana na upande wa mashtaka ameboronga!
 
hadithi vikao vya mikocheni?
hadithi unamwambia mtu akutafutie vijana?
Hadithi una chat nae ?
Hadithi una mtumia mtu hela?
nitakuwa wapumbavu mpaka mnakufa.
Akili mnazo Ila hamtaki kuzitumia.
Umeshajiita mjinga weye, unafikiri mahakama inapokea hadithi ?
 
Pole sana.maana hii kesi ni ngumu na mbowe hatoki.
Mkubali tu mwenyekiti wenu Kuna mahali AMEKOSEA.
Akina kibatala Wana hahaaa kuhangaika Ila wanajua kesi imeshakuwa ngumu ndo maana wanauliza vitu vya ajabu
Rejea jina lako.
 
Nikwambie kitu.
Wafuasi wa mbowe hamna AKILI.
Hamjipi kazi ya kujiuliza.
Kitu ambacho mnatakiwa mjadili.
Chat za mbowe ziliingia vipi kwenye simu ya kamanda urio.?
Je ninkweli walifanya vikao mikocheni.
Je NI kweli mbowe alikuwa anamtumia hela kamanda urio.
Hapa ndipo tuhuma za kupanga mipango ya kigaidi .
Ndipo zilipo.
Wenzenu wanawabana kwenye chat,na vikao na hyo miamala ya fedha.
MTAAMKA LINI?
Kingai nilikuambia ww ni zoba fulani, na sasa unaanza kuelewa. Maafisa wengi wa vyombo vya dola ni vilaza ndio maana huwa wanatumia mabavu hata sehemu isiyohitaji akili. Matokeo yake watawala wa CCM wameshajua ni vilaza hivyo wanawatumia kwenye siasa chafu. Sasa wanasiasa wa CCM wamewatumia Mmebaki wenyewe mahakamani ukilaza wenu ukianikwa.
 
Kaka mtu 3 ni muhimu Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tuambie wewe umeona nini kwenye telegram chart !!
Screenshot_20220127-110149.jpg
 
hadithi vikao vya mikocheni?
hadithi unamwambia mtu akutafutie vijana?
Hadithi una chat nae ?
Hadithi una mtumia mtu hela?
nitakuwa wapumbavu mpaka mnakufa.
Akili mnazo Ila hamtaki kuzitumia.

..hiyo miamala at least ingetumika kwenye mambo yanayohusiana na ugaidi, kwa mfano kununua silaha, etc.

..nimesoma kwamba lt.urio alitumia miamala kununua chakula, na hakuna mahala popote ambapo ameeleza miamala ilitumika ktk mambo yanayohusiana na ugaidi.
 
Urio Angekuwa Na Akili, Angewachukua Wanajeshi Walio kazini [emoji28][emoji28] kwenda Kufanya Hiyo Kazi Maalumu Yeye ameita Tactical Nini Sijui….. hiyo Inge sound Good kuwa Jamaa Alikuwa Smart, Later on Mbowe angestuka Kuwa Anafanya kazi Na wana Jeshi ambao Wako kikosini na Hawajafukuzwa Kazi.

Sasa, Yeye kaenda kuwatafuta walio Fukuzwa kazi ambao Wanasota Mtaani kwa ugumu wa Maisha, ambao wanakuwa Rahisi sana Kuwa rubuniwa na Kumgeuka kwa marengo yake kama kweli aliwaambia. Pesa ni haramu, Huwezi kumwambia Mtu asiye lipwa na serikali au kusaidia chochote na serikali by the way serikali ndio imemfanya awe anasota Mtaani etiii Kumbukeni Kiapo Mlicho Kula [emoji28][emoji28][emoji28] where? When? Which? Who? How? Whom? [emoji28][emoji28]

Sasa Urio, Uliwatafuta Makomandoo wa 4 ukawawekea Mtego kuwa chochote watakacho Ona Sio Sawa Wakuambie, Ni kama Walikuwa Informer wako kama Wewe ulivyokuwa Informer wa Kingai…. kwa maana Hiyo Urio Unajua kabisa Ile Bastola A ngapi sijui unajua ilitoka wapi?, Unajua yale Madawa ya Kulevya walioshikwa nayo yaliyoka wapi, hata visu vya jeshi sijui Uniform Urio Unajua Vilitoka wapi…. Kwasababu hawa si ndio walikuwa Informer wako? Na Ukaona baada yao kukamatwa ukajua Kazi Imeisha Na Ulilotaka Lilikuwa Limetimia [emoji28][emoji28][emoji28] Chukua Sasa Vifaa Ulivyo wapa virudi pahala Pake.

Urio Ulikosa kabisa Akili ya kuchukua Wanajeshi walio Kazini? Maana Tanzania Hamna Vita, So wanajeshi wanakula Bata tuuu, Hii ingekuwa moja Ya Kazi yao na Mbowe Angekamatwa na Kufungwa mchana Kweupeeeee [emoji28][emoji28][emoji28] nini Kilikufanya Uwachukue walio Fukuzwa kazi Tena kwa Kuonewa. Labda tusubiri wakati wakujitetea watasema wao ni wanajeshi Kamili na bado wako kazini walikuja kwa Mbowe kwa Kazi Maalumu.
Unazunguka mbali sanaaa! hakukuwa na hiyo kazi ya Ugaidi, ndio ulitakiwa uanzie hapo haya mengine yote hayapo kwa sababu hayo mambo ya kwenda kufanya fujo hayakuwepo
 
Urio hajui kama akina Mbowe walipanga kufanya ugaidi,lakini yeye huyo huyo akapeleka taarifa.kwa dci Boaz ?.Huyu alipata kibano hadi akakubali kutoa taarifa ambazo amezikana hapo mahakamani.Anatakiwa sasa aseme ni nani alimtesa ili akiri kwamba kulikuwa na suala la ugaidi.Kumbe pale Tazara Urio ndiye alikuwa anapata kibano.
 
Nikwambie kitu.
Wafuasi wa mbowe hamna AKILI.
Hamjipi kazi ya kujiuliza.
Kitu ambacho mnatakiwa mjadili.
Chat za mbowe ziliingia vipi kwenye simu ya kamanda urio.?
Je ninkweli walifanya vikao mikocheni.
Je NI kweli mbowe alikuwa anamtumia hela kamanda urio.
Hapa ndipo tuhuma za kupanga mipango ya kigaidi .
Ndipo zilipo.
Wenzenu wanawabana kwenye chat,na vikao na hyo miamala ya fedha.
MTAAMKA LINI?
Kwani Mbowe akiwasiliana na mtu ndo ugaidi? Kwani Mbowe akimtumia mtu pesa ndo ugaidi? Kumbe wanaposema akili ni ndogo,kumbe ni kweli.Sijaona popote ambapo hata huyo Urio anapokiri kwamba alikuwa a organize watu kwa ajili ya ugaidi.
 
Chadema mnajipa moyo lakini wengi ni mazuzu wa sheria.

Point mnazochukua nyinyi sio point anazochukuwa Jaji kwenye maelezo anayouatoa shahidi.

Kwenye mahakama ya Maria Sarungi Mbowe yuko huru,ila kwenye mahakama ya serikali Mbowe anaweza kuiepuka kesi au hatia ya ugaidi lakini sio kukwepa tuhuma zote.

Ile tu kuajiri au kitendo cha kula njama na askari aliyefukuzwa.

Ukataka kumpa majukumu yako mapya bila mamlaka husika kujua,inathibitisha nia ovu.

Kama Mbowe alitaka walinzi binafsi basi kuna taratibu zake halali za kufuatwa na sio hii ya kuwakusanya kina Adamoo.

Kwenye kesi mtuhumuwa hutiwa hatiani na kipengele kidogo sana.

Nyinyi mawakili wa kichaga endeleeni na hii mahakama yenu huku JF.

Lakini msiingilie ile mahakama halali.
 
Nikwambie kitu.
Wafuasi wa mbowe hamna AKILI.
Hamjipi kazi ya kujiuliza.
Kitu ambacho mnatakiwa mjadili.
Chat za mbowe ziliingia vipi kwenye simu ya kamanda urio.?
Je ninkweli walifanya vikao mikocheni.
Je NI kweli mbowe alikuwa anamtumia hela kamanda urio.
Hapa ndipo tuhuma za kupanga mipango ya kigaidi .
Ndipo zilipo.
Wenzenu wanawabana kwenye chat,na vikao na hyo miamala ya fedha.
MTAAMKA LINI?
Akili yako inaendana kabisa na jina lako. Pole sana
 
Back
Top Bottom