Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo kinachokuja kwa bibi ushungiMshukuruni Bwana kwa Kuwa ni Mwema. Maana Fadhili zake ni za milele.
Ameeen
Mfalme Sauli alipambana sana amuue Daudi kwa kuwa alihofia Daudi atachukua Ufalme wake. Haikuwezekana Daudi mwishowe akawa Mfalme.
Mungu ni mwema sana