Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

Unashangaa nn kama safari wameianza saa 6 usiku?? Je unajua wamesafiri kwa kutumia chombo gn? Usiandike tu fikiri kabla

Walikodisha baiskeli za wasukuma nini ? Maana hata kwa Bajaj masaa mawili unusu unaingia, sembesu msafiri usiokuwa na kibao na 50.
 
Jipige kifuani kisha sema " Mimi ni Mpumbavu sana Mimi ni mjinga sana."Fanya hivyo mara 3 kwa siku kwa muda wiki moja Utapona!.

Sawa kamanda, wewe mwenye akili weka live link uumbuke, mna hariri picha na video ili msiumbuke nyumbxxx wa Ufipa.
 
Usiweke picha za 2015, lete za leo kamanda. Michuzi hayupo kwenye kampeni team ya CDM, hizo ni picha za 2015 za Lowasa.

Kasahau kutoa nenoJina la Michuzi
Ndio zao sasa hivi hata mikutano wanaweka video za 2015 wana edit jukwaani wanaonekana viongozi wa sasa halafu nyuma wanaunga picha za 2015 ya mwanza viwanja vya furahisha walifanya hivyo

Picha wanazotumia sana kuunga ni za mikutano ya Lowasa ya 2015 na ya Slaa
 
Lissu ndiye habari ya mjini kwa sasa!!

kuna waandishi uchwara eti wamenuna, wanasema hawataandika habari za CDM na Lissu - sisi tunawashangaa wakati Azory amepotea hadi wa leo hatujawahi kuwaona wakilaani kitendo hicho cha kishetani - kweli huu ni ukanjanja tena wa kiwango cha lami.

Go Lissu GOOOO!!
 


MACHO YANGU KAMA NAWAONA POLICE LEO KWA LISSU?
 
Ok sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…