OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mbona JPM anapiga sna porojo mmemfanya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa Magufuli ni kinyume chakeNimefika bwashee siasa siyo Uadui!
hiyo picha ni msafara wa Lowasa akiwa sumbawanga mwaka 2015 kwenye kampeni Chadema acheni usanii sio msafara wa leo wa Lisu huo!!
Mkuu hao walinzi ni kutoka jeshi la polisi??Nimekupata mkuu
Wewe kijana jezi ya Chadema ya mwaka huu hujaiona au?hiyo picha ni msafara wa Lowasa akiwa sumbawanga mwaka 2015 kwenye kampeni Chadema acheni usanii
View attachment 1556346
Kwanza hata huyo sio Lissu Lissu harudi Nchini na wala hio sio Chadema Chadema ilishakufa iliuliwa na Serikali ya Viwanda na Hapa kazi tuNa makamanda uchwara wanashangilia, ha ha ha.
Tunasubiri, tuwe wavumilivu kidogo
Wanaweza kusema huo ni msafara wa Magufuli akili zilishakabiziwa LumumbaWewe kijana jezi ya Chadema ya mwaka huu hujaiona au?
huo ni msafara wa Lowasa 2015 nakupa na LINK HIYO HAPO JIONEE MWENYEWE utapeli wa CHADEMA kuweka picha ya sumbawanga na kuita mapokezi ya Lisu leo hiyo hapo jionee mwenyeweWewe kijana jezi ya Chadema ya mwaka huu hujaiona au?
Kuna wakati unafika unasema utajifariji vipi unakosa namna? Nyie kama bado mko mnafuatilia mikutano ya Lissu mjue kuna watu wenu wako field wawaambie nini kinaendeleaKasahau kutoa nenoJina la Michuzi
Ndio zao sasa hivi hata mikutano wanaweka video za 2015 wana edit jukwaani wanaonekana viongozi wa sasa halafu nyuma wanaunga picha za 2015 ya mwanza viwanja vya furahisha walifanya hivyo
Picha wanazotumia sana kuunga ni za mikutano ya Lowasa ya 2015 na ya Slaa
Angalia picha ya Lowasa 2015 msafara wake Sumbawanga picha ya pili toka mwisho ndio mumebandika kuwa ni msafara wa Tundu Lisu Shinyanga leo!!!!Kuna wakati unafika unasema utajifariji vipi unakosa namna? Nyie kama bado mko mnafuatilia mikutano ya Lissu mjue kuna watu wenu wako field wawaambie nini kinaendelea
Hahhahahha.. Mkuu kumbe!,Angalia picha ya Lowasa 2015 msafara wake Sumbawanga picha ya pili toka mwisho ndio mumebandika kuwa ni msafara wa Tundu Lisu Shinyanga leo!!!!
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI
Ha ha haaaa. Umeyavua nguo makamanda uchwaraAngalia picha ya Lowasa 2015 msafara wake Sumbawanga picha ya pili toka mwisho ndio mumebandika kuwa ni msafara wa Tundu Lisu Shinyanga leo!!!!
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI
Chadema ndio wame graduate sasa kutoka kumiliki vyeti feki sasa wamehamia kwenye picha feki wanaleta za sumbawanga za kampeni za lowasa 2015 na kuziita za Tundu Lisu za leo ShinyangaHahhahahha.. Mkuu kumbe!,
Namna hii mnategemea kushinda kweli?Wanaweza kusema huo ni msafara wa Magufuli akili zilishakabiziwa Lumumba
Na ukute hata Lisu nae yupo akiona hivyo anashangilia kweliChadema ndio wame graduate sasa kutoka kumiliki vyeti feki sasa wamehamia kwenye picha feki wanaleta za sumbawanga za kampeni za lowasa 2015 na kuziita za Tundu Lisu za leo Shinyanga
Mgombea wa CCM anafanya mikutano mingi kwa siku kuliko nyinyi,,maana yake anawafikia wapiga kura wengi zaidi na hapo ndo siri ya ushindi ilipo.Haitoshi kufanya mikutano kwenye miji mikuu pekee,huwezi kushinda uchaguzi kwa strategy za namna hiyo,ni kujidanganya.WanaJF
Karibuni kufuatilia mapokezi makubwa ya Mgombea Urais CHADEMA Tundu Lissu hapa mjini Shinyanga.
Lissu anatarajiwa kuhutubia mkutano Mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Joshoni ikiwa ni uzinduzi wa kampeni kwa Kanda ya Serengeti.
Mgombea huyo wa Urais anaambatana na Mgombea Mwenza Salum Mwalimu na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe
Sisi wa Molemo Media tumesafiri usiku kucha kutokea Mwanza na tupo hapa Shinyanga kuihabarisha dunia.
View attachment 1556310
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu ameingia Kanda ya Serengeti (Mara, Shinyanga & Simiyu) ambapo leo atakuwepo Shinyanga Mjini akiambatana na Mgombea-mwenza, Salum Mwalim pamoja na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe
Haka kaneno 'pathetic' unakapenda, hongera kwa kujua kidhungu.Mwanza, Shinyanga mnasafiri usiku kucha ?,pathetic!
Bavicha acheni kufoji! Uzuri teknolojia haidanganyi