Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sanaNi zamu ya Musoma leo.
Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.
Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.
Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
Stay tunedKama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
We uko Dodoma unatusemea wana Mara..?Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
Hakika ni yy#NiYeye
Leo naisi ndo jiwe atawekwa kwenye life support😂😂😂Ni zamu ya Musoma leo.
Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.
Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.
Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.
Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi
Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
... saa chache zijazo utajua kama wana Mara wana hamu naye au hawana! Endelea kufutika kichwa mchangani nyeti umeziacha zinapigwa upepo!Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
NI YEYE ...!!! NI WAKATI WETU SASANi zamu ya Musoma leo.
Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.
Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.
Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.
Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi
Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
... wanakotokea mashujaa Heche, Matiko, na Bulaya tena kwa kura za wananchi unategemea ni watu wa kawaida hawa? Mara sio ya kitoto; is one of the pillars za ukombozi wa nchi hii toka enzi za Mwalimu.Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
Kama ambavyo Maria Nyerere hana hamu na Magu kwa kumlazimisha kwenda kwenye kampeniKwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
Viva tundu lissu polepole anajuta huku🤣🤣🤣🤣Ni zamu ya Musoma leo.
Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.
Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.
Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.
Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi
Tutawaletea yatakayojiri
Hahahahaha dada umejionea kilichotokea?Leo ni Siku ya sabato Musoma wengi ni wasabato hawataenda mkutanoni na watamyima kura kwa kutoheshimu sabato
Hapa Geita tuna furaha sana kwa kuifuta CCM, Upendo Peneza na Husna wako mstari wa mbele sisi tumefyeka mizizi yote na anguko kuu ni 28Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi
VivaaViva Tundu A. Lissu
Viva Chadema