Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu (CHADEMA) na Mkutano Mkubwa wa hadhara Musoma Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu (CHADEMA) na Mkutano Mkubwa wa hadhara Musoma Mjini

Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
 
Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
Stay tuned
 
Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
We uko Dodoma unatusemea wana Mara..?

Tunamngoja kwa hamu.. huku magari ya Mwanza-Musoma leo hayatapata nafasi barabara itafungwa kwa umati mkubwa sana kama kawaida.
 
Kwakwel sirudi kosa 2015 nilimchagua jiwe ila sasa 5 imetosha
Screenshot_20200913-003501_Messenger.jpg
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
Leo naisi ndo jiwe atawekwa kwenye life support😂😂😂
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiriView attachment 1581133
NI YEYE ...!!! NI WAKATI WETU SASA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
... wanakotokea mashujaa Heche, Matiko, na Bulaya tena kwa kura za wananchi unategemea ni watu wa kawaida hawa? Mara sio ya kitoto; is one of the pillars za ukombozi wa nchi hii toka enzi za Mwalimu.
 
1.Napiga magoti Kumshukuru Mungu kwa kutuletea mtetezi
2.Naona neema yaja kwa wakulima, watauza mazao yao popote watakapo sio AMKOS tena
3.Naona sheria ya kikokotoo a. k. a mstaafu kupangiwa matumiz inafutwa na na fao la kujitoa linakuja.
4.Watumishi wa umma kupata neema.
5.Haki na Uhuru waja
6.Elimu bora na wahitimu wake wenye uwezo wa kuajirika kimataifa waja.
7.Sheria iliyotungwa na maccm, sheria kandamizi ya urejeshwaji wa mikopo elimu ya juu kufutwa
8.Mahusiano kimataifa kurejeshwa
9.20 alfu za wajasiliamali kufutwa
10.Umoja wa kitaifa kurejeshwa
11.Katiba mpya yaja
12.kodi kandamizi kufutwa
 
Ni zamu ya Musoma leo.

Rais Mtarajiwa Tundu Lissu atatikisa viunga vya Musoma kwenye Mkutano wa Kampeni leo.

Ni Kama Musoma imesimama kwa ujio wa Shujaa huyu aliye gumzo Afrika na duniani kwa Sasa.

Lissu anayeungwa mkono na Makundi yote hususan wafanyabiashara na Wafanyakazi kote nchini ameapa kufuta Mara moja sheria Haramu iliyowekwa ya kupunguza Mafao ya wastaafu na kurudisha Mara moja Fao la Kujitoa.Serikali ya CCM ilipitishwa Sheria ya kikandamizaji kwamba mtu akiacha kazi ya kuajiriwa hata Kama ana miaka 30 sharti asubiri afikishe miaka 60 ndiyo apate haki yake ya Mafao.Shetia hiyo imelaaniwa na kila mpenda haki lakini serikali ya CCM imeweka Pamba masikioni.

Kwa tathmini iliyo wazi mpaka Sasa Lissu ana uwezekano wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60% Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi

Tutawaletea yatakayojiri
Viva tundu lissu polepole anajuta huku🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 2529704_Apandacho_mtu_ndicho_atakachovuna__268_X_480_.mp4
    370.1 KB
Ngome pekee ya Mgombea wa CCM aliyokuwa anatamba nayo ilikuwa mkoa wa Geita hata hivyo Lissu ameiteka ngome hiyo wiki hii kwa kupata mapokezi yanayobaki historia vizazi na vizazi
Hapa Geita tuna furaha sana kwa kuifuta CCM, Upendo Peneza na Husna wako mstari wa mbele sisi tumefyeka mizizi yote na anguko kuu ni 28
 
Lissu lazima azungumzie usumbufu wanaopata wananchi kwa kila mara kubadilisha Passport na Driver's licenses kama njia ya serikali kujipatia fedha!!! Ubadilishaji huu ni aina ya kodi kwa wananchi; hakuna sababu ya duplication ya passport na viatambulisho lukuki vikiwemo leseni za udereva, kitambulisho cha Taifa na kadi ya mpiga kura!!! Serikali makini ingevijumuisha hivyo vyote kwenye kitambulisho kimoja hivyo kuokoa mabillioni ya fedha ambazo zingetumika katika shuhuri nyingine za maendeleo!!!
 
Back
Top Bottom