Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajiliwazaYale yale ya mwaka 2015,Niko hapa kahama sioni shamla shamla yoyote,na isitoshe wamewekewa mafuta lita mbili kila bodaboda sasa hata kama in mimi kwanini nisijifanye nampenda Huyo lissu wenu
Ukweli mtaujua October, hamtarudia tena kumsimamisha huyu lissu maana kipigo atakachopata ni cha jini kahaba
Nimekumbuka mapokezi ya Mamvi hapo Kahama 2015 nyomi ile ni mbingu na jua na Hawa watu wachache wa leo kwa TAP
Watanzania sio wale.
Safari wamebadili hawapigi deki barabara ?Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.
Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa
Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Yale yale ya mwaka 2015,Niko hapa kahama sioni shamla shamla yoyote,na isitoshe wamewekewa mafuta lita mbili kila bodaboda sasa hata kama in mimi kwanini nisijifanye nampenda Huyo lissu wenu
Ukweli mtaujua October, hamtarudia tena kumsimamisha huyu lissu maana kipigo atakachopata ni cha jini kahaba
picha hakuna ndugu!Wekemi na picha sio maneno tu, ili tuinjoi wote
Safari wamebadili hawapigi deki barabara ?
Kazi mnayo lakini lile bull dozer likipita huko linavuruga kila kitu, endeleeni kujichosha na kumaliza mate.
Pia muwe makini huyo jamaa yenu bado mgonjwa, anatembea na risasi kiunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona bodaboda usiamini, mwaka fulani walipewa elfu 10 na full tank mafuta kumpokea mtia nia.Kwa 'uwingi' huo wa bodaboda kweli atashindana lkn hatashinda!
Sio kweli mie binafsi sijawahi kulazimishwa kwenda barabarani.Huyo bulldozer watu wanalazimishwa kujitokeza, vinginevyo wanafanyiziwa kwenye shughuli zao. Hao wametoka kwa mapenzi yao.
Usisahau kwamba ccm wana karata moja inaitwa abrakadabra.....Lissu The Greatest
Dodoma kulikuwa na aibu gani?kwahio leo bodaboda wamewekewa full tank baada ya aibu ya dodoma, ongezeni wote barabaran
Kuna tofauti kubwa sna kati ya 2015 na leo hii 2020.unakumbuka EL akisaka wadhamini? Ulikua mzimu ule.
Inawezekana akawa anatembea na risasi ya kupigwa makusudi na waoga wa kukosolewa kama wewe.Safari wamebadili hawapigi deki barabara ?
Kazi mnayo lakini lile bull dozer likipita huko linavuruga kila kitu, endeleeni kujichosha na kumaliza mate.
Pia muwe makini huyo jamaa yenu bado mgonjwa, anatembea na risasi kiunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani hawezi kuaminiwa kwa lolote asemalo. Bulldozer, shetani mkuuSafari wamebadili hawapigi deki barabara ?
Kazi mnayo lakini lile bull dozer likipita huko linavuruga kila kitu, endeleeni kujichosha na kumaliza mate.
Pia muwe makini huyo jamaa yenu bado mgonjwa, anatembea na risasi kiunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo unahama nchi sema unarudi kwenu Burundi baada ya kushindwa kutimiza kilicho kuleta Tanzania.Mkuu we subiri October huyu jamaa atapata kupigo cha mbwa mwizi wa mayai ,nakuhakikishia,akipata asilimia 5 ya kura zote nahama nchi
Akikujibu naomba unitag!Dodoma kulikuwa na aibu gani?
Ccm sasa hivi ni mahututi anaishi kwa nguvu za oxygenUsisahau kwamba ccm wana karata moja inaitwa abrakadabra.....
hiyo wakitumia kamwe hamuwezi washinda