Hapo ilikuwa kabla magufuli hajaamrisha kukamatwa kwa walosema hawampi kura.Itoshe kusema leo Bukoba imetikiswa na kutikisika.
Uwanja wa Gymcana ulijaa saa 06:30 za asubuhi.
Ile ndoto ya Chief Karumuna kuchukua Jimbo umepotea mazima baada ya mkutano wa leo baada Mgombea wa CCM Wakili msomi Byabato kuibua Shangwe Mara kwa Mara alipokuwa akitajwa na Mh Magufuli.
Poleni sana wale waliokuwa wanasubiri kutumia karata ya tetemeko kupata kura za huruma .
Chadema kwa muda Huu wanatafta kitu kimoja tu ambacho ni Huruma kwa wananchiChadema waliishiwa zamani saaana
Huo Ni uongo Mkubwa si ndio Kiki ambazo huwa mnatafta ili watu wawe attention na nyie. Kwa maana nyie pasipo Kiki hamuwezi kupata watuNasikia kuwa huko Kagera mambo ni hivi. View attachment 1571628View attachment 1571629
Wamejipanga kujibu mashambulizi na kupropandaNaona ID mpya tupu hapo juu.
Hivi kweli kwa umati huu Mkubwa wa watu sauti gani ingelisikika ikisema pumba Kama hiyoNasikia kuwa huko Kagera mambo ni hivi. View attachment 1571628View attachment 1571629
Maendeleo yapo wapi?Umwambie awakumbushe maendeleo ya kagera na Tanzania kw Ujumla
Wewe unaona ni kampeni au fiesta?? Tuanzie hapo kwanzaHivi hii ni mikutano ya kampeni au Fiesta za wasanii?
Hakika nyie waongo na mnatafta Kiki huu umati wote unang'aa kwa nguo Safi za kijani et unatuambia wameropoka hawamtaki. Walai nawaambia watanzania wamemchagua Dr John P Magufuli na wamemchagua CCM.Nasikia kuwa huko Kagera mambo ni hivi. View attachment 1571628View attachment 1571629
Zinakuuma au? Mbona wewe unazo nyingi tu!!?Naona ID mpya tupu hapo juu.
Hapo watu wamesombwa kutoka hadi Uganda.Hakika nyie waongo na mnatafta Kiki huu umati wote unang'aa kwa nguo Safi za kijani et unatuambia wameropoka hawamtaki. Walai nawaambia watanzania wamemchagua Dr John P Magufuli na wamemchagua CCM.
Na wale waliokuwa wanatumia Kiki ya tetemeko povu leo limewatoka baada ya kuona umati Mkubwa ukimshangilia jemedari wao na Rais wao anayesubilia kuapishwa
Check umati huu
View attachment 1571640
Acha kujifanya Chizi wewe unavunga as if macho yako yanaona palipo na wasanii tu. Jana ulimwangalia Mheshimiwa Rais alipokuwa Muleba na kwingineko alikopita je kulikuwa na wasanii??? Jibu ni no je mbona watu walijaa sana. Huu ni upendo wa watu kwa Rais na hata Kama wasanii wasipokuwepo tena wanajaa zaidi ya hapoWewe unaona ni kampeni au fiesta?? Tuanzie hapo kwanza
Hii ni ya Muleba watu walitoka wapi? Na alikuwa anapita tu Jana hiyoHapo watu wamesombwa kutoka hadi Uganda.
Watu wanampenda Magufuli Hadi basi na tarehe 28 utashuhudia Kama upinzani mtapata hata Jimbo moja KageraHuyo alienda kuwasanifu tu Bukoba aliishawambia yeye hakuleta tetemeko kisha hela yao ya mchango akaenda kujengea kiwanja cha ndege kijijini kwake.
Mbona unalalamika Sana?!Acha kujifanya Chizi wewe unavunga as if macho yako yanaona palipo na wasanii tu. Jana ulimwangalia Mheshimiwa Rais alipokuwa Muleba na kwingineko alikopita je kulikuwa na wasanii??? Jibu ni no je mbona watu walijaa sana. Huu ni upendo wa watu kwa Rais na hata Kama wasanii wasipokuwepo tena wanajaa zaidi ya hapo
Kitu kingine waiteni wasaniii au mchukue Maroli Kama watakuja kwenu yaani mmeishiwa mvuto pamoja na hoja kwa ujumla
Mjiandae kuaibika baada ya uchaguzi
Hapa chini angalia picha za Jana Bila wasaniiView attachment 1571647
Poleeeeeeeh by the way sina mlengo na siasa.Huo Ni uongo Mkubwa si ndio Kiki ambazo huwa mnatafta ili watu wawe attention na nyie. Kwa maana nyie pasipo Kiki hamuwezi kupata watu
Mimi silalamiki ila nakushangaa kujifanya Chizi wa kutokuwa unaangalia matukio ambayo yanakushika na unaangalia tu matukio unayotolea pumba zako za kutuletea hapaMbona unalalamik
Mbona unalalamika Sana?!
Sasa ndo ikawa hivyo kadri ya taarifa kutoka huko.Hivi kweli kwa umati huu Mkubwa wa watu sauti gani ingelisikika ikisema pumba Kama hiyo
View attachment 1571637