Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera


Kagera pambe sana
 

Attachments

  • a701581f-6182-4acd-8872-dcea7dd48bd8.JPG
    121.9 KB · Views: 1
Wanakagera hatujasahu ujue ewe john.

Ulituambia twafa Tetemeko halikuletwa na sirikali yako
Ee bhana na leo Wana Kagera wamedhihirisha wazi kabisa wanampenda Magufuli na wanaipenda CCM na hata Kama mnafanya propaganda za kuwafanya wamchukie kwa sababu ya tetemeko wamewapuuuza

Check huo umati

Hakika Bukoba mmetisha sana
 
Vitendo vinaongea, Mladi wa maji, Vituo vya Afya, Barabara, Elimu bure, vivuko na meri kwa nini wasijae endeleeni na hoja yenu ya Tetemeko ila Kagera kwa CCM wanachukuwa wanaweka Uwaaaaaaaaaa
 
Asante Bukoba, asante Kagera kwa kuionyenyesha dunia kuwa mnamuelewa JPM na serikali yake!
 
Hapo Tundu Lissu alikuwa bado hajapita je angekuwa tayari ameshawalisha upupu si ingekuwa balaaaaa.Lissu atakuja kuweka mambo sawa
Ila kimsingi ukiachana na tetemeko na meli hakuna cha maana serikali ya CCM imefanya bukoba.
 
#JPM2020 #CCM #mitanotena #mitanotenayajpm #achakaziiendelee #achakaziiendeleenajpm
 
Ila kimsingi ukiachana na tetemeko na meli hakuna cha maana serikali ya CCM imefanya bukoba.

Baadhii tu ni kama yafuatayo:
1. Kugeuza mapori yaliyotumika kwa uhalifu na ujambazi kuwa hifadhi ya taifa ( Burigi; Chato; Ibanda na Lumanyika)
2. Kulipa madeni ya kahawa kwenye vyama vya ushirika.
3. Kukarabati shule za sekondari za Kagemu, Bukoba, Rugambwa na Kahororo.
4. Kujenga shuke mpya za sekondari mbili; Nyakato na Ihogo kwa gharama ya shilingi bilioni 14.
 
Tunamsubiria mzee was kusakafia.anajinasibu eti maendeleo hayana vyama,lakini huwa uhalisia wake unajionyesha kwrnye kampeni.mngese thaaaaana mshua wa kinje
 
Bado hujaiongelea Bukoba hapo juu.

Acha kuchanganya bukoba na kagera
 
Mataa ya barabarani kwa nini yanachukuliwa ni maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…