paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Kushinda wewe?JPM ni kopo kabisa kichwani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushinda wewe?JPM ni kopo kabisa kichwani!
Kabisa!Kushinda wewe?
Wapinzani wote wnajitambua na wana tumia akili siyo kama nyinyi wachumia tumbo wa lumumbaLkn ninyi mlishamezeshwa cd ya kuponda kila kitu siyo?
Nawe ni mwana chama wa kukoshwa nini?Acha Mbwembwe wewe
Huyo ndiye rais wako wa awamu ya sita, jiandae kumeza vipande vya chupa tuKina Malema wako wengi, hata hapa tunaye Malema wa Tz, Mr........TL!!
Hawezi kuwa Raisi maisha yote ya nchi hii, Kwa kuwa silika yake ni kupiga kelele na Ikulu hatupeleki wapiga kelele!
Ni kweli Wapo, Ila siyo hicho unachokisifia mkuu pamoja na wewe, nyie ndo hamna kabisa, na Kwa kuwa upinzani ni Vyama Vyote nchini vinavyogombania kuitoa ccm, Wapo kweli watu wazuri, lakini hicho mnachokifagilia....... 😂😂😂Wapinzani wote wnajitambua na wana tumia akili siyo kama nyinyi wachumia tumbo wa lumumba
Remember wana bukoba aka wana Kagera na JPM ni "natural allies " kama unaelewa hilo usitegeme kitu kingine tofauti, tafuta gear nyingineWana Bukoba msisahau mlipopatwa na maafa ya tetemeko mlijibiwaje
😂😂😂😂 Pole mkuuHuyo ndiye rais wako wa awamu ya sita, jiandae kumeza vipande vya chupa tu
Safari hii tunahitaji pia kufanya mdaharo kwa wagombea woote wa kiti cha urais, pia tunaomba itumike lugha ya kimataifa ya kiingerezaNi kweli Wapo, Ila siyo hicho unachokisifia mkuu pamoja na wewe, nyie ndo hamna kabisa, na Kwa kuwa upinzani ni Vyama Vyote nchini vinavyogombania kuitoa ccm, Wapo kweli watu wazuri, lakini hicho mnachokifagilia....... [emoji23][emoji23][emoji23]
Comrade bado tu unaneng'eneka na mdahalo?Safari hii tunahitaji pia kufanya mdaharo kwa wagombea woote wa kiti cha urais, pia tunaomba itumike lugha ya kimataifa ya kiingereza
Unajua nini mkuu, Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kufanya mdahalo na Mgombea asiye na sifa za kuwa raisi, hata ingelikuwa ni wewe Ndiyo unagombea Uraisi eti ufanye mdahalo na Tl, utajidharilisha Sana kufanya mdahalo na mtu asiyefahamu nini maana ya kuwa kiongozi ni lipi anaweza kuongea, Kwa wakati gani na lipi asiongee!!!!Safari hii tunahitaji pia kufanya mdaharo kwa wagombea woote wa kiti cha urais, pia tunaomba itumike lugha ya kimataifa ya kiingereza
Kwani kuna ugumu gani kutoka upande wenu? Kitu gani mnakiogopa?Comrade bado tu unaneng'eneka na mdahalo?
Safari hii tunahitaji pia kufanya mdaharo kwa wagombea woote wa kiti cha urais, pia tunaomba itumike lugha ya kimataifa ya kiingereza
Fent Fod!Unajua nini mkuu, Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kufanya mdahalo na Mgombea asiye na sifa za kuwa raisi, hata ingelikuwa ni wewe Ndiyo unagombea Uraisi eti ufanye mdahalo na Tl, utajidharilisha Sana kufanya mdahalo na mtu adiyefahamu nini maana ya kuwa kiongozi ni lipi unaweza kuongea Kwa wakati gani na lipi asiongee
Akili zako ni za karne ya zidumu fikra za mwenyekiti wa chamaMdahalo afanye Lissu na chipukizi wa CCM ndio level zake ila sio JPM. Izo ni level tofauti ni sawa na Kutaka mwakinyo apigane na Myweather
Tumeshasema hatuna mpango wa kufanya mdahalo kwasababu hauna manufaa yeyote kwetu.Kwani kuna ugumu gani kutoka upande wenu? Kitu gani mnakiogopa?
Kwenye ukweli acha tuseme.Umezoea kukoshwa sana wewe naona sasa umeamua kututangazia