Ccm wanadhambi sana yani....Tupo kusini tunaendelea kuwadanganya watanzania masikini.wanaishi kwenye nyumba za majani na wanatembea bila kuvaa viatu.View attachment 1557498View attachment 1557499
Daah!! Pole Sana mkuu"Kila la heri Rais wa awamu ya sita Mhe Tundu Antipas Lissu....kama ambavyo hawaamini risasi 16 haijakuzima, vivyo hivyo hakuna wakukuzima October 28 kuingia Ikulu
population ya Dar ni tofauti by far na mikoa mingine yotemmm
Uongo sio zonal inauguration wewe acha hizo.Ingekuwa ni Zonal Dar es salaam mngezindua jimbo moja tu mbona ilikuwa majimbo matatu ndani ya mkoa mmoja? uzinduzi ulikuwa mbagala huku kwingine mnatapeli tu kama uzinduzi ni zonal ? Kawe na Segerea DAR ES SALAAM mlienda zindua nini wakati yote majimbo yaliyoko zone moja sawa na mbagala?
hamna watu unataka warushe uwanja mtupu au?Sasa hivi ni 3:01 mchana, lakini hatujapata picha kutoka eneo la tukio, hii unaonyesha kitego cha propaganda bado kinaendelea kuhalili picha ili baadaye muanze kuhadaa Umaa eti Lisu anakubalika.
pouplation au kwa kanda? sasa mbona unabwabwaja uongo kuwa mnazindua kwa kanda? Lakini turudi nyuma kama kweli mnazindua kwa population mbona mlipata watu wachache mbagala,kawe na segerea Dar es salaam kuliko Arusha au Mwanza? hiyo logic ya population mbona haieleweki?We msukule wa lumumba population ya Dar ni tofauti by far na mikoa mingine yote
Vipi haupo kusini huku kumsaidia mama kukuna nazi?hamna watu unataka warushe uwanja mtupu au?
Vipi haupo kusini huku kumsaidia mama kukuna nazi?View attachment 1557506View attachment 1557507hamna watu unataka warushe uwanja mtupu au?
Kitu gani kinakukera kwani.......??!!kwa hiyo mnazindua kwa pouplation au kwa kanda? sasa mbona unabwabwaja uongo kuwa mnazindua kwa kanda? Lakini turudi nyuma kama kweli mnazindua kwa population mbona mlipata watu wachache mbagala,kawe na segerea Dar es salaam kuliko Arusha au Mwanza? hiyo logic ya population mbona haieleweki?
Sasa Shangaa siku tukianza kampeni halisi itakuwaje !Hivi ni kwanini kila Mkutano wa Lisu mnaita ni ya uzinduzi wa kampeni? Na kule Mbagala Zakhiem mlizindua nini?
uongo wenuKitu gani kinakukera kwani.......??!!
Lisu na magufuli nani anae mkimbia mwenzake mbona magufuli anaogopa mdahalo na aliogopa siku ile alipo wekewa pingamizi wakutate mkurugenzi akaijifanya yy anajuaLisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Tulia wewe !Sasa hivi ni 3:01 mchana, lakini hatujapata picha kutoka eneo la tukio, hii unaonyesha kitego cha propaganda bado kinaendelea kuhalili picha ili baadaye muanze kuhadaa Umaa eti Lisu anakubalika.
Duuuh hatari sana hiiNdani ya Tabora
hii safi sana. tumeshachoka na siasa za madaraja na treniNashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja
Duuuh hatari sana hii
Hapa ni MwanzaNdani ya Tabora
Hii video ya kuwasili alikuja hapo Tabora Harmonize ndio mnaifanya ya Lisu kuwasili Tabora leo? Chadema mbona mnapenda usanii?Ndani ya Tabora