Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kwanini Chadema mnang'ang'ania mdahalo na Magufuli? Lissu na chadema mmepewa miezi miwili na nusu muwaeleze watz mna Sera gani Sasa hamjamaliza mnaanza kutaka mdahalo. Katambi atakuja badala ya Magufuli, huyo ndo size yenu.Lisu na magufuli nani anae mkimbia mwenzake mbona magufuli anaogopa mdahalo na aliogopa siku ile alipo wekewa pingamizi wakutate mkurugenzi akaijifanya yy anajua
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app